Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666






Si ni ndiyo Auntie...Wanasema eti havina matumizi makubwa

Auntie Nimekumiss hapa jamani...







Si ni ndiyo Auntie...Wanasema eti havina matumizi makubwa
Auntie Nimekumiss hapa jamani...



wanasemaga ukitumia sana elfu 20 haifiki sasa sisi vibibi gagula watatuweza wapiii kazi inaanza tunakunywa heinekenn bado mengineyo lazima watuchukiewanasemaga ukitumia sana elfu 20 haifiki sasa sisi vibibi gagula watatuweza wapiii kazi inaanza tunakunywa heinekenn bado mengineyo lazima watuchukie
Auntie nimekuwa mvivu makapuku sijui ndio uzee kuna mda naingia natoka kutype nashindwa yaani nimekuwa mvivu kutype hakuna kitu naomba kama jf waweke opt ya vn yaani









Waaah!!!
maana wewe nakujua ndiyo mambo yako.. itabidi niingie tu kwenye VN...shangazi Shunie unakunywaga heinken ngapi .ukiamuawanasemaga ukitumia sana elfu 20 haifiki sasa sisi vibibi gagula watatuweza wapiii kazi inaanza tunakunywa heinekenn bado mengineyo lazima watuchukie
Auntie nimekuwa mvivu makapuku sijui ndio uzee kuna mda naingia natoka kutype nashindwa yaani nimekuwa mvivu kutype hakuna kitu naomba kama jf waweke opt ya vn yaani
swahiba na ww unapiga heinken ngapi ndo unakua vzr au wewe hupigi hz unakula savanah
Auntie nimecheka hadi koo limeuma...kwamba picha linaanzia kwenye Heineken...na local beer tutaumwa matumboWaaah!!!
Ujue Aunti hao havina bills za kulipa... life yao haina matumizi makubwa..
Nakuelewa vyema Auntie...Kuna wakati hata kutype ni shida.. sasa wakiweka VN mimi na hiki kigugumizi itakuwaje lakini?maana wewe nakujua ndiyo mambo yako.. itabidi niingie tu kwenye VN...
Mtu asiyekuzoea anaweza jua huyu kaniona mimi ndio anajishaua kunywa heinekenn kumbe ndio kinywaji chetu hata nikiwa peke yangu ndio ninachokunywa acha waendelee tu kukimbizana na watoto
Auntie nimecheka hadi koo limeuma...kwamba picha linaanzia kwenye Heineken...na local beer tutaumwa matumboWaaah!!!
Ujue Aunti hao havina bills za kulipa... life yao haina matumizi makubwa..
Nakuelewa vyema Auntie...Kuna wakati hata kutype ni shida.. sasa wakiweka VN mimi na hiki kigugumizi itakuwaje lakini?maana wewe nakujua ndiyo mambo yako.. itabidi niingie tu kwenye VN...
hahahahaWe mzee acha maswali bwana wanaume hawaulizi haya maswali ujue relax mtu aagize ulipe
Hakuna hata moja ninayotumia hapo hapo Swahiba... Hayo ni mambo ya Shunieswahiba na ww unapiga heinken ngapi ndo unakua vzr au wewe hupigi hz unakula savanah



Mtu asiyekuzoea anaweza jua huyu kaniona mimi ndio anajishaua kunywa heinekenn kumbe ndio kinywaji chetu hata nikiwa peke yangu ndio ninachokunywa acha waendelee tu kukimbizana na watoto





Ila auntieee si vodka hiyoHakuna hata moja ninayotumia hapo hapo Swahiba... Hayo ni mambo ya Shunie
Kwa sasa natumia Tanqueray Swahiba![]()
Ndiyo AuntieIla auntieee si vodka hiyo





Ndiyo Auntie
Sasa nifanyeje jamani...Life imenifikisha hapo Auntie...
Nachanganya na Sprite... burudani...
Uje nikufundishe![]()



hapana aiseee me kichwa yangu hii nitavua nguo nikishafikisha chupa ya 5 akili yangu inabadilika nakuwa shunie wa Europe najiamiani sina chochote naogopa 



Umenifanya nikumbuke kitu Auntiehapana aiseee me kichwa yangu hii nitavua nguo nikishafikisha chupa ya 5 akili yangu inabadilika nakuwa shunie wa Europe najiamiani sina chochote naogopa
![]()





Umenifanya nikumbuke kitu Auntie
Hiyo kichwa tutaicontrol... na Imagine hiyo kitu hata siyo kali kama vingine...
Siku nikuonesha ka kituuuuu![]()

auntie hapana baki nayo tu mwenyewe halafu si huwa mnamiminiwa kiduchu kwenye glass mnawekewa na vipande vya lemonauntie hapana baki nayo tu mwenyewe halafu si huwa mnamiminiwa kiduchu kwenye glass mnawekewa na vipande vya lemon





Eeeeeh!!!!...ila hiyo nimeonjeshwa siku za karibuni Auntie...Nikaipenda....
Sasa nikiamia huko WH nitamuachia nani Auntie..



sasa tule tuduchu jamaniii mnawezaje auntie si mpige fundo moja hapana jamani vingine hivyo acha niwe mtazamaji tusasa tule tuduchu jamaniii mnawezaje auntie si mpige fundo moja hapana jamani vingine hivyo acha niwe mtazamaji tu



Lakini auntie si unalewa haraka jamani kali sana ile na taste yake sio chungu kama whisky woiiiii mapombe makali yamenishinda mimi yaani siyawezi hata mdomoni harufu naweza tapika
Unaweza kuongeza Auntie....
Mimi hiyo nilikunywa kwa mtu alikuwa na ile chupa.. Nikachanganya na Sprite..sikutumia lemon..