Makapuku Forum

Makapuku Forum


Si ni ndiyo Auntie...Wanasema eti havina matumizi makubwa

Auntie Nimekumiss hapa jamani...
wanasemaga ukitumia sana elfu 20 haifiki sasa sisi vibibi gagula watatuweza wapiii kazi inaanza tunakunywa heinekenn bado mengineyo lazima watuchukie

Auntie nimekuwa mvivu makapuku sijui ndio uzee kuna mda naingia natoka kutype nashindwa yaani nimekuwa mvivu kutype hakuna kitu naomba kama jf waweke opt ya vn yaani
 
wanasemaga ukitumia sana elfu 20 haifiki sasa sisi vibibi gagula watatuweza wapiii kazi inaanza tunakunywa heinekenn bado mengineyo lazima watuchukie

Auntie nimekuwa mvivu makapuku sijui ndio uzee kuna mda naingia natoka kutype nashindwa yaani nimekuwa mvivu kutype hakuna kitu naomba kama jf waweke opt ya vn yaani

Auntie nimecheka hadi koo limeuma...kwamba picha linaanzia kwenye Heineken...na local beer tutaumwa matumboWaaah!!!
Ujue Aunti hao havina bills za kulipa... life yao haina matumizi makubwa..

Nakuelewa vyema Auntie...Kuna wakati hata kutype ni shida.. sasa wakiweka VN mimi na hiki kigugumizi itakuwaje lakini?maana wewe nakujua ndiyo mambo yako.. itabidi niingie tu kwenye VN...
 
wanasemaga ukitumia sana elfu 20 haifiki sasa sisi vibibi gagula watatuweza wapiii kazi inaanza tunakunywa heinekenn bado mengineyo lazima watuchukie

Auntie nimekuwa mvivu makapuku sijui ndio uzee kuna mda naingia natoka kutype nashindwa yaani nimekuwa mvivu kutype hakuna kitu naomba kama jf waweke opt ya vn yaani
shangazi Shunie unakunywaga heinken ngapi .ukiamua
 

Auntie nimecheka hadi koo limeuma...kwamba picha linaanzia kwenye Heineken...na local beer tutaumwa matumboWaaah!!!
Ujue Aunti hao havina bills za kulipa... life yao haina matumizi makubwa..

Nakuelewa vyema Auntie...Kuna wakati hata kutype ni shida.. sasa wakiweka VN mimi na hiki kigugumizi itakuwaje lakini?maana wewe nakujua ndiyo mambo yako.. itabidi niingie tu kwenye VN...
swahiba na ww unapiga heinken ngapi ndo unakua vzr au wewe hupigi hz unakula savanah
 

Auntie nimecheka hadi koo limeuma...kwamba picha linaanzia kwenye Heineken...na local beer tutaumwa matumboWaaah!!!
Ujue Aunti hao havina bills za kulipa... life yao haina matumizi makubwa..

Nakuelewa vyema Auntie...Kuna wakati hata kutype ni shida.. sasa wakiweka VN mimi na hiki kigugumizi itakuwaje lakini?maana wewe nakujua ndiyo mambo yako.. itabidi niingie tu kwenye VN...
Mtu asiyekuzoea anaweza jua huyu kaniona mimi ndio anajishaua kunywa heinekenn kumbe ndio kinywaji chetu hata nikiwa peke yangu ndio ninachokunywa acha waendelee tu kukimbizana na watoto
 
Watazikwa pamoja...!
Leo Malkia wa Uingereza anazikwa. Maziko binafsi ya kifamilia yatafanyika saa 1 na nusu jioni kwa saa za Uingereza.

Maziko hayo yatatanguliwa na Mazishi ya kitaifa. Malkia atazikwa kwenye kanisa la Mtakatifu George. Atazikwa pamoja na mume wake prince Philip ambaye amezikwa sehemu nyingine katika kanisa hilo hilo.

Mabaki ya mwili wa Prince Philip yatatolewa sehemu alipo kupelekwa sehemu ya Altare ambapo ndipo wana ndoa hao watazikwa pamoja. Wakati mwili wa Malkia unaingizwa Kanisani yatasomwa maneno kutoka katika Biblia yasemayo, " Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;

BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA lihimidiwe." Malkia Elizabeth alifariki tarehe 8 September huko Balmoral, Scotland. Ameacha utajiri unaokadiriwa kufikia trilioni moja na bilioni kadhaa, zote zitarithiwa na mwanaye, Mfalme Charles mume halali wa Malkia Camilla
Screenshot_20220919-100514_OGInsta%2B.jpg
 

Unaweza kuongeza Auntie....
Mimi hiyo nilikunywa kwa mtu alikuwa na ile chupa.. Nikachanganya na Sprite..sikutumia lemon..
Lakini auntie si unalewa haraka jamani kali sana ile na taste yake sio chungu kama whisky woiiiii mapombe makali yamenishinda mimi yaani siyawezi hata mdomoni harufu naweza tapika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom