Makapuku Forum

Baadhi ya watumishi wa umma wakitoa heshima zao wakati gari lililobeba jeneza lenye mwili Malkia Elizabeth II, likipita katika kijiji cha Ballater, Scotland kutoka katika kasri la Balmoral leo Septemba 11, 2022.

Jeneza hilo litasafirishwa kwa barabara kupitia miji na vijiji mbalimbali vya Scotland ili wananchi na watumishi wa umma watoe salamu zao za mwisho kwa aliyekuwa mtawala wao wa muda mrefu.

Mwili wa Malkia, ambaye alifariki Septemba 8, utapelekwa Ikulu ya Holyroodhouse katika mji mkuu wa Scotland, Edinburgh kabla ya kulala katika Kanisa Kuu la St Giles, kisha ya kusafirishwa kwenda jijini London kwa mazishi yatakayofanyika Septemba 19, mwaka huu.

 
hawa jamaa niliwakukutana nao,nikaongea nao deal,kilichofuata hadithi
 
Aliyeandika hapa ni shangazi? Basi naomba kuwa mjomba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…