Namshukuru mungu ni kwema saana.Kwema mkuu...wewe je
Na mlivyo hamna uvumilivu akizingua kidoogo tu, mnatimua.Tumepigwaaaa
hawa jamaa niliwakukutana nao,nikaongea nao deal,kilichofuata hadithiScandal24
FOOTBALL ECONOMY || Geita Hovyo kwa Branding
.
Siku moja pata nafasi uwasikilize watu wanaoizunguka Geita Gold Fc, wanavyoongelea uwekezaji wa katika mpira unaweza ukadhani wao ni Manchester City au Newcastle United. Halafu ukija kuwaona ni KAUZU FC au VIGUNDO ya Temeke Mabingwa wa #Ndondocup2021.
.
Muda tunavyoongea wapo Sudani na vyombo vya Huko vinasema Timu kubwa kutoka ukanda wa Madini nchini Tanzania ipo hapa kupambana na mwakilishi wetu. Lakini kiukweli ni timu ya Hovyo, isothamini biashara na washirika wake ma wala wao wenyewe hawajielewi wanafanya nini kwenye kitu kinaitwa BRANDING.
.
Hadi naingia mitamboni, wao ndio timu ya ligi kuu ilovaa hezi zenye #KitSupplier wote wakubwa duniani. Kwanza wao wana mkataba na #Masita lakini wamevaa jezi zenye #UhlSports, #NewBallance #Adidas na #Puma. Bila woga kwenye mechi moja wanavaa Jezi zenye Kit Supplier wawili tofauti. Bila woga George Mpole kashika Mpira wa Masita jezi ya Puma na bango masita. Wanaishi Dunia yao.
.
Sasa huwa najiuliza, kwa nini wanaogopa kuwapa vijana kazi katika vilabu vyao..? Vijana wenye exposure na uwezo wa Kufanya mambo..! Lakini hawataki kutoa mashavu na matokeo yake ni aibu kwa Taifa zima, huko wanajiuliza maswali mengi sana lakini sisi hatujali. Hao Masita wanatamani kuondoka Nchi hii maana mizengwe ya MATUSI YA KIBIASHARA haikomi. Maana wanachokifanya Geita ni kuwadharau Masita licha ya Mapungufu ya kuchelewesha Vifaa kwa MASITA.
.
Che Guevara
.
NB
Weka Maneno
.View attachment 2352124View attachment 2352125View attachment 2352126View attachment 2352127
Salama Swahiba..za Wewe?swahiba umeamkaje ?
mimi niko poa kbs.swahiba tunalisongeshaSalama Swahiba..za Wewe?
Aliyeandika hapa ni shangazi? Basi naomba kuwa mjomba
Imebidi nicheke bila kutarajia....
Sasa uzi kujaa Mashangazi wakajadili Issues zao nayo ni kitu ya kumfanya mtu hadi kutuandikia comment huko surely?
Anyway kama kuna kitu kingine tumemkosea tumuombe radhi pasipo hata kujua ni nini tumemkosea..
Ila story za Mashangazi ndiyo hatuachi.. Mashangazi tunakaribia kupokea Pension zetu...sasa anataka tujadili nini zaidi ya mipango mikakati ya kutumia Pension zetu
Mwisho... ila siyo mwisho kabisa...kwa niaba ya wote hapa nimkaribishe.. hapa kuna mengi ya kujifunza... AHSANTE..
Aliyeandika hapa ni shangazi? Basi naomba kuwa mjomba
hahahahahaAliyeandika hapa ni shangazi? Basi naomba kuwa mjomba
hajui km huu ni uzi bora na wa watu wastaarabu? Awe anaitika akiitwaila we mzee bwana halafu hatujakuitaa huku umekujaje yaani na tukikuita ukatufokea hutaki kuja
Anasema ye sio kapuku ye ni tajiri huu uzi utamfanya kuwa kapukuhajui km huu ni uzi bora na wa watu wastaarabu? Awe anaitika akiitwa
Hahaha, we mtoto niache hujui nikimuona Makiwendo na mwandiko wake nywele zinasisimkaila we mzee bwana halafu hatujakuitaa huku umekujaje yaani na tukikuita ukatufokea hutaki kuja
Aliyeandika hapa ni shangazi? Basi naomba kuwa mjomba
Hahaha, we mtoto niache hujui nikimuona Makiwendo na mwandiko wake nywele zinasisimka, hapa niliona kwenye subscribed hata sikujua ni huku kwa makapuku, siji tena!!
hahahahaha. Yeye tajiri ? OkAnasema ye sio kapuku ye ni tajiri huu uzi utamfanya kuwa kapuku
hahahaha hapo kwenye kuchagua hapo,hebu fanya kunichagua,mjomba mzee hapa
Wewe ni mwehu... halafu Mjomba si ni mimi nachagua tu.. sitaki kujileta
hahahaha hapo kwenye kuchagua hapo,hebu fanya kunichagua,mjomba mzee hapa