Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Unataka umfanyie nani sasa?? Mbona waha wala hawapendwi kihivyo????Nimeenda kufuata dawa ya mapenzi
![]()
![]()
![]()
........
Unataka umfanyie nani sasa?? Mbona waha wala hawapendwi kihivyo????Nimeenda kufuata dawa ya mapenzi
![]()
![]()
![]()
........
We ya nini hiyo dawa??Ase unleteee na mieee
Safar njema
Mi niko poa pia, namalizia week end yangu tu maana hakuna namna sasaJumapil ni njema my wii
Uko poa ww???
Uwiiiii wifi jamani sitaki hata kukumbuka kuwa kesho ni jumatatu tena

Tuandamane basi ili kesho irudi kuwa ijumaaShem Acha kabisa
Hapana, manake mi ni zaidi ya chaiNaweza nikakuweka kwenye chai?
Nlioona thanks alotNipo halafu nilikutag sijui umeona???
Hongera sana
kwa sasa uko namba moja kwenye notable member kipengele cha most point

Hapana week ya salary hiiTuandamane basi ili kesho irudi kuwa ijumaa
Wikend gudi, alaf mtandao una nsumbua kwl yaanKumbe umeona eeh![]()
![]()
![]()
Habari ya weekend?
Basi ntakukunywaHapana, manake mi ni zaidi ya chai
Ur too sweet to add more sugarItakuwa ulinifananisha tu
Iam too sweet to add more sugar
HahahaWe ya nini hiyo dawa??
Pole sana, unakunyima uhondo sasa huo mtandaoWikend gudi, alaf mtandao una nsumbua kwl yaan
Kesho nawafuata makao makuu wasintaniePole sana, unakunyima uhondo sasa huo mtandao

Tarehe zikae kama zilivyo ila siku tu ndo zibadilike jamaniHapana week ya salary hii
Kunywa bia yatosha mkuuBasi ntakukunywa