🤣🤣🤣🤣🤣 Nikikumbuka ile coment ya majinjah yaani nacheka naona sikukosea kabisaaaa
Nyau wewe.....
Maninginingi
Kikuu kazoea ujambazi sasa ananisingizia na mimi mtoto wa watu. Wakati inajulikana tu nilivyo mpole na mtulivu.nyie watu wawili mnanifurahisha sana
Kikuu kazoea ujambazi sasa ananisingizia na mimi mtoto wa watu. Wakati inajulikana tu nilivyo mpole na mtulivu.
Huwezi amini nimekukumbuka hapa nimecheka mwenyewe. Tumefika kwenye sherehe soda na juice zimeisha; wamekuja wameturundikia Heinekens za kutosha; nikakuwaza mama Muinjili Heinekens ambavyo ungezigongaYaani auntie ungekuwa sio auntie yangu ningesema naombeni jamani muwe wapenzi yaani akili zenu mnaendana sana
Eeenh mama mchungajiHuwezi amini nimekukumbuka hapa nimecheka mwenyewe. Tumefika kwenye sherehe soda na juice zimeisha; wamekuja wameturundikia Heinekens za kutosha; nikakuwaza mama Muinjili Heinekens ambavyo ungezigonga
Sasa wote na baba Mchungaji hatukunywi; tukawaongezea tu majirani. Kwa kweli ungekuwepo karibu ningekubebea tu mama Heinekens uji-enjoyyyyyEeenh mama mchungajikwahiyo baada ya kurundikiwa mmezifanyaje jamaniiii
Sasa wote na baba Mchungaji hatukunywi; tukawaongezea tu majirani. Kwa kweli ungekuwepo karibu ningekubebea tu mama Heinekens uji-enjoyyyyy
Yaani auntie vitu vyenye vimeshindikana ndio mimi naendana navyo🙆🙆🙆🙆Yaani auntie ungekuwa sio auntie yangu ningesema naombeni jamani muwe wapenzi yaani akili zenu mnaendana sana