National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Vipi tufanye mchakato wa German ? Unaweza fundisha log ?Daah
Nilipata kusikia mwaka fulani kuwa huko canada waalimu waliwahi kuandamana wapunguziwe mishahara maana wanalipwa mishahara mikubwa mno
Nikasema acheni waafrika tudharauliwe tu hawa watu tusijifananishe nao hata kidogo
Mama la Mama hapa alipata waziri, kichwa kabisa hiki chenye digrii zake tatu."Tumeendelea na tozo kwa sababu kuna majukumu mengine hatuwezi kuyaahirisha. Lakini pia kuna mambo mengine hayako kwenye shughuli za uzalishaji na yenyewe sio ya kuyaahirisha [kama Bwawa la Nyerere, reli]."
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba.View attachment 2342324
Njoo kwangu huku Misungwi. Kuna upungufu mkubwa wa walimu mpaka wanaajiri hata ambao hawana sifa. Tena kama unafundisha masomo ya STEM (Science, Technology, Engineering and Math) aisee utagombaniwa kama mpira wa kona na signing bonus juu (up to $20K)Auntie nahamia Austria
🤣🤣🤣🤣Njoo kwangu huku Misungwi. Kuna upungufu mkubwa wa walimu mpaka wanaajiri hata ambao hawana sifa. Tena kama unafundisha masomo ya STEM (Science, Technology, Engineering and Math) aisee utagombaniwa kama mpira wa kona na signing bonus juu (up to $20K)
Hahah germany hapanaVipi tufanye mchakato wa German ? Unaweza fundisha log ?
basi Ireland 😁😁 au nezelandiHahah germany hapana
Aahh hizo nchi kwangu mimi labda kutembea tu ila siyo kuishibasi Irelandau nezelandi
Basi AusitiraliaAahh hizo nchi kwangu mimi labda kutembea tu ila siyo kuishi
Bora usiwepoooKikuu sipo kwakweli!
Sema hizi barabara changamoto ukichepukia mbozi road atlst unakuwa safe
Yaani siku hizi umekuwa kauzuBora usiwepooo
Kuna wapenzi ukiwafikiria tu, unatamani hata ungekuwa unakaa jela na wafungwa🥸🥸
Vizuri mwayaaaMsimu huu nashabikia singida big starz
Naaaaaam
Hadi sasa jina lako la Burundi ni nani?Auntie nahamia Austria
Majinjah we🤣🤣🤣Bora usiwepooo
Birigimana🤣🤣🤣🤣Hadi sasa jina lako la Burundi ni nani?