Makapuku Forum

Makapuku Forum

BREAKING: Watu 10 wamefariki asubuhi hii baada ya Basi dogo la Wanafunzi (Toyota Hiace T207 CTS) la Shule ya King David Mtwara kupata ajali maeneo ya Mikindani mkoani Mtwara.

Kamanda wa Polisi Mtwara Nicodemus Katembo “Wanafunzi waliofariki ni wanane, Dereva mmoja na Mwangalizi mmoja, majeruhi ni 19“. RIP[emoji1545]
Screenshot_20220726-114654_OGInsta%2B.jpg
 
Rais Samia ameelezea kusikitishwa kwake na taarifa za Watu 10 kufariki asubuhi hii baada ya Basi dogo la Wanafunzi (Toyota Hiace T207 CTS) la Shule ya King David Mtwara kupata ajali maeneo ya Mikindani mkoani Mtwara.

“Nimesikitishwa na vifo vya wanafunzi 8 wa shule ya msingi ya King David na watu wazima 2 vilivyotokea leo asubuhi huko Mtwara Mikindani baada ya gari la shule kutumbulikia shimoni. Nawapa pole wafiwa, Mkuu wa Mkoa na jamaa, Mwenyezi Mungu awarehemu Marehemu na kuwaponya majeruhi”
RIP[emoji120]
Screenshot_20220726-115011_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom