Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
[emoji3578] Jemedari Said
HILI OMBI AU AGIZO? NANI YUKO NYUMA YAKE?
Ukisikiliza hapa halafu uambiwe huyu anaeongea hapa ni Mwananchi wa KAWAIDA anamuomba Mh: Waziri Mohamed Mchengerwa utakataa. Haishangazi kupelekwa maadili na akakutwa na HATIA.
(The guy totally doesn't know how to communicate ethically...!!)
Kama una akili sawaswa unajiuliza NANI YUKO NYUMA YAKE, Kama yuko peke yake KWANINI HAKEMEWI?
Wapi Mh: Waziri Mchengerwa aliagiza Haji ahukumiwe? Au mimi ndo sikuelewi hotuba yake. Tena eti aliagiza kwa MBWEMBWE na anamtaka akasimamie haki ya kiapo chake, kwa MBWEMBWE hizo hizo. No ethics of communication! Kama vile Mh: Waziri kamteua yeye, hakuna heshima kabisa!
Nimejiuliza nafasi ya Klabu kama muajiri wake katika hili nikaona WAMELIZIMA tu, nikajiuliza KWANINI wapo kimya? Kuna kitu hakiko sawa.
Tangu sakata hili limeanza Klabu imekaa kimya kabisa. Rais wa Klabu aliambatana nae kwenda kuomba msamaha ambao leo ni kama vile ameukana.
Hiki chaweza kuwa kipimo cha uongozi mpya ambao hauna hata mwezi madarakani. Unawezaje kuayaendea mambo mazito au magumu yanapotokea.
Leo ukiangalia matamko ya Wazee ambayo ymefanyika Klabuni, Afisa wao anapambana na mamlaka na kuihusisha Serikali (Waziri) kwenye kuhukumiwa kwake, kama anataka kuigombanisha Klabu na Serikali na Viongozi wako kimya. Wazee wanasema wanamtaka Rais wa nchi, yeye anaitaka Serikali iingilie kati, viongozi kama hawaoni.
Viongozi wapo nyuma ya mtu huyu au wamemtuma? Rais na Makamu wa Rais wa Klabu wasisahau Afisa wao huyu alitamka hadharani kwenye Press Conference kwamba wao ni RAFIKI ZAKE!
Nadhani wanapaswa kuwa Smart sana juu ya hili vinginevyo wanaingia mkenge kwa kuendekeza urafiki na kuogopa kuudhi washkaji.
NB: Ukiona hujjaelewa lala, hili sio saizi yako.
BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)
HILI OMBI AU AGIZO? NANI YUKO NYUMA YAKE?
Ukisikiliza hapa halafu uambiwe huyu anaeongea hapa ni Mwananchi wa KAWAIDA anamuomba Mh: Waziri Mohamed Mchengerwa utakataa. Haishangazi kupelekwa maadili na akakutwa na HATIA.
(The guy totally doesn't know how to communicate ethically...!!)
Kama una akili sawaswa unajiuliza NANI YUKO NYUMA YAKE, Kama yuko peke yake KWANINI HAKEMEWI?
Wapi Mh: Waziri Mchengerwa aliagiza Haji ahukumiwe? Au mimi ndo sikuelewi hotuba yake. Tena eti aliagiza kwa MBWEMBWE na anamtaka akasimamie haki ya kiapo chake, kwa MBWEMBWE hizo hizo. No ethics of communication! Kama vile Mh: Waziri kamteua yeye, hakuna heshima kabisa!
Nimejiuliza nafasi ya Klabu kama muajiri wake katika hili nikaona WAMELIZIMA tu, nikajiuliza KWANINI wapo kimya? Kuna kitu hakiko sawa.
Tangu sakata hili limeanza Klabu imekaa kimya kabisa. Rais wa Klabu aliambatana nae kwenda kuomba msamaha ambao leo ni kama vile ameukana.
Hiki chaweza kuwa kipimo cha uongozi mpya ambao hauna hata mwezi madarakani. Unawezaje kuayaendea mambo mazito au magumu yanapotokea.
Leo ukiangalia matamko ya Wazee ambayo ymefanyika Klabuni, Afisa wao anapambana na mamlaka na kuihusisha Serikali (Waziri) kwenye kuhukumiwa kwake, kama anataka kuigombanisha Klabu na Serikali na Viongozi wako kimya. Wazee wanasema wanamtaka Rais wa nchi, yeye anaitaka Serikali iingilie kati, viongozi kama hawaoni.
Viongozi wapo nyuma ya mtu huyu au wamemtuma? Rais na Makamu wa Rais wa Klabu wasisahau Afisa wao huyu alitamka hadharani kwenye Press Conference kwamba wao ni RAFIKI ZAKE!
Nadhani wanapaswa kuwa Smart sana juu ya hili vinginevyo wanaingia mkenge kwa kuendekeza urafiki na kuogopa kuudhi washkaji.
NB: Ukiona hujjaelewa lala, hili sio saizi yako.
BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)