Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Ezekiel Olesow Laizer (30) kwa kupatikana na bangi misokoto 202.
Kamanda wa Jeshi la polisi Manyara ACP Benjamin Kuzaga amesema Mtuhumiwa Laizer ni mchimbaji wa madini mkazi wa Ngaramtoni Arusha.
ACP Kuzaga amesema tukio hilo limetokea 25/10/2021 huko katika geti la ukuta wa machimbo ya Tanzanite Mirerani ambapo hukumu hiyo imetolewa 22/07/2022 mjini Orkesument Wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara.
Kamanda wa Jeshi la polisi Manyara ACP Benjamin Kuzaga amesema Mtuhumiwa Laizer ni mchimbaji wa madini mkazi wa Ngaramtoni Arusha.
ACP Kuzaga amesema tukio hilo limetokea 25/10/2021 huko katika geti la ukuta wa machimbo ya Tanzanite Mirerani ambapo hukumu hiyo imetolewa 22/07/2022 mjini Orkesument Wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara.