Makapuku Forum

Makapuku Forum

....lol. Ujue wakati nasoma nilikuwa bwaksi lakini nikagundua kuwa hukukutana na mimi maana mimi nilinywea nyumbani sikutoka kabisa, mambo ya indoor.
Ningekuuliza ungenipa jibu la kunikarahisha wakati mambo yangu na mdogo wako ndiyo kwanza barabara zinachorwa zipite wapi zisipite wapi. Kutoka Ntwara hadi Daslamu sio mwendo mfupi ujue
Na bora tu usijue maana......[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom