Makapuku Forum

Makapuku Forum

....my dear stranger, akikunong'oneza utasahau yote ya kweli niliyokuambia. Ni mtego, halafu huyu ni anko wangu lakini tuna uadui wa ukoo, muulize Nigendako ni shahidi.

Nimempigia simu kanibuloku, nimemwandikia barua EMS wataifikisha kwa dispatch
Dalili za kupigwa chini zinazidi kuongezeka, jamani mimi nina nini na ndugu zangu!?
Ndugu zako hawakupendi?
 
...hili jina litamsumbua hata kama hajalenga hadhira ya waongea kiswahili kama atataka kuwa kichwa ngumu. Kashindwa kufanya kile kinachoitwa linguistic screening ili kuondoa maana mbaya ya jina unalotaka kutumia kwenye biashara yako. Hatukatai controversy kwenye jina lakini sio iwe ya tusi, contraversy should be the right one sio ya kuondoa lengo zuri unalotaka kufanya.
Narudia tena naandika sababu ninajisikia nawe unaweza kuwa na tafasiri yako, inawezekana Naomi hajawalenga waongeaji wa lugha ya Kiswahili so asidhani cancel culture ikiamshwa na waswahili haitamuathiri
 
...hili jina litamsumbua hata kama hajalenga hadhira ya waongea kiswahili kama atataka kuwa kichwa ngumu. Kashindwa kufanya kile kinachoitwa linguistic screening ili kuondoa maana mbaya ya jina unalotaka kutumia kwenye biashara yako. Hatukatai controversy kwenye jina lakini sio iwe ya tusi, contraversy should be the right one sio ya kuondoa lengo zuri unalotaka kufanya.
Narudia tena naandika sababu ninajisikia nawe unaweza kuwa na tafasiri yako, inawezekana Naomi hajawalenga waongeaji wa lugha ya Kiswahili so asidhani cancel culture ikiamshwa na waswahili haitamuathiri
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dada wewe hupendi hela?

Mie ninayo nyingi sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaza huyo anayeongezewa damu yako masikini[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hapana...hela zinanipenda zenyewe...

Kwamba unayo nyingi[emoji2]

Nilikuwa naenda kutoa Iende Bank ya Damu....zaidi sana mwenye angeipata Wueh!!!....
 
Back
Top Bottom