Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kuchomea tena sio kidogo. Majuzi anko Lee aliniharibu kwa aunt yangu so akaona aniharibie na mimi kumbe tayari nishamsoma, nikampa namba ya wale wadada waonatoa ushauri nasaha. Kilichompata huko kaahidi kuniharibia. Hapa nilipo nimemuandikia aunt yangu amsamehe lakini hataki kujibu, nampigia simu lakini simu inaenda voice mail, eti ukisikia mlio rekodi ujumbe wako, niko studio narekodi nimtumie
[emoji23][emoji23]
Mtumie alufu kumi anunue kifurushi...[emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usifanye hivyo...
Nina ndugu zangu hapa watakupa Info.
....kama ndugu zako ndiyo hawa wanaokutana na walevi wanageuza njia, nikiwafuata kuwaomba mawasiliano na wakaniona nimevaa saa ya Citizen si ndiyo watakwambia mimi ni mstaafu . BTW, kweli huwa navaa saa na nyingine nimenunua jana kwa mmachinga linikuta bar akasema kauziwa na mtu aliinunua shoppers, akilini nikajua tu mtu kaibiwa, mara moja moja sio mbaya kuvaa mali ya wizi
 
....kama ndugu zako ndiyo hawa wanaokutana na walevi wanageuza njia, nikiwafuata kuwaomba mawasiliano na wakaniona nimevaa saa ya Citizen si ndiyo watakwambia mimi ni mstaafu . BTW, kweli huwa navaa saa na nyingine nimenunua jana kwa mmachinga linikuta bar akasema kauziwa na mtu aliinunua shoppers, akilini nikajua tu mtu kaibiwa, mara moja moja sio mbaya kuvaa mali ya wizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyieeeee
 
Yaaaaani...
Kuna hicho kimoja hicho...
Najisemeaga wakishatoa gawio.. najitoa..
Wueh!!! Naweza sasa...
Nipo tu[emoji2]tukigawana naanza tena..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio inavyokuwaga sasa me mwaka huu nimeingia majina mawili ninavyochanganyikiwa Mungu mwenyewe anajua
 
....kama ndugu zako ndiyo hawa wanaokutana na walevi wanageuza njia, nikiwafuata kuwaomba mawasiliano na wakaniona nimevaa saa ya Citizen si ndiyo watakwambia mimi ni mstaafu . BTW, kweli huwa navaa saa na nyingine nimenunua jana kwa mmachinga linikuta bar akasema kauziwa na mtu aliinunua shoppers, akilini nikajua tu mtu kaibiwa, mara moja moja sio mbaya kuvaa mali ya wizi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba shoppers...

Ndugu yangu humu anayeweza kukupa taarifa zangu sahii ni Shunie na Hadde...
Yule mwingine mwache alivyo.. anapenda sana kunichomea..
 
Back
Top Bottom