Makapuku Forum

Makapuku Forum

....lol. Ujue wakati nasoma nilikuwa bwaksi lakini nikagundua kuwa hukukutana na mimi maana mimi nilinywea nyumbani sikutoka kabisa, mambo ya indoor.
Ningekuuliza ungenipa jibu la kunikarahisha wakati mambo yangu na mdogo wako ndiyo kwanza barabara zinachorwa zipite wapi zisipite wapi. Kutoka Ntwara hadi Daslamu sio mwendo mfupi ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana....
 
Hapana...hela zinanipenda zenyewe...

Kwamba unayo nyingi[emoji2]

Nilikuwa naenda kutoa Iende Bank ya Damu....zaidi sana mwenye angeipata Wueh!!!....
....kuchangia damu ni ubinadamu, mara ya mwisho niliacha kuchangia sababu walisema soda na biskuti zimeisha. Wana namba yangu, nikawaambia zikiwepo wanitumie ujumbe mfupi
 
Yale mambo nilikwambia nimestop kwanza hela ilikata najipanga kwa awamu ya pili

Siku hizi nimekuwa mvivu sana kuingia jf sijui ndio bundle mzozo ila nahisi hili la bundle ndio kweli
Nakumbuka Auntie... Kila lenye kheri Dear....Utamaliza kabisa....

Suala la bundle kipengele Auntie..

Mimi mwenywe kuna wakati nakuwa mzito kuingia JF hadi najisemea ndiyo mda wa kuachana nayo nini?[emoji2]Nikikumbuka wakati najiunga humu kuna watu walikuwa Active balaa leo siwaoni... Najisemea tu na mimi ndiyo napotea hivyo[emoji2]Labda
 
Back
Top Bottom