Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hela ndilo la msingi auntie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani tutafuteni helaa tu me ndio maana mapenzi hayanichanganyi kabisa nikiona mambo hayaeleweki nakwambia tu kaka ebu kila mtu aendelee na mambo yake jamani umenikuta nipo na maisha yangu yaani nikiongea hivyo imeishaaa hiyo sigeuki nyuma
 
Aliogopa majibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si unajua usilolijua halikuhangaishi!!
....lol. Ujue wakati nasoma nilikuwa bwaksi lakini nikagundua kuwa hukukutana na mimi maana mimi nilinywea nyumbani sikutoka kabisa, mambo ya indoor.
Ningekuuliza ungenipa jibu la kunikarahisha wakati mambo yangu na mdogo wako ndiyo kwanza barabara zinachorwa zipite wapi zisipite wapi. Kutoka Ntwara hadi Daslamu sio mwendo mfupi ujue
 
Back
Top Bottom