Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,370
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...bado asubuhi sana nikijibu ukweli aunt, napenda siku iwe nzuri kwa upande wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...bado asubuhi sana nikijibu ukweli aunt, napenda siku iwe nzuri kwa upande wangu
...ukipotea bila kunipa mawasiliano yako nitaitisha press na naweka tangazo ITV Daima lirushwe kwenye taarifa ya habariNakumbuka Auntie... Kila lenye kheri Dear....Utamaliza kabisa....
Suala la bundle kipengele Auntie..
Mimi mwenywe kuna wakati nakuwa mzito kuingia JF hadi najisemea ndiyo mda wa kuachana nayo nini?[emoji2]Nikikumbuka wakati najiunga humu kuna watu walikuwa Active balaa leo siwaoni... Najisemea tu na mimi ndiyo napotea hivyo[emoji2]Labda
[emoji23]Apple punch!!! Ghaaaiiii
Sawa Obe.. Naamini[emoji2]....ondoa wasiwasi japo wasiwasi ndiyo akili lakini kwa hapa amini kila kinachotka mdomoni kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23]....ndugu zangu waache tu kama walivyo, mara ya mwisho tumekutana kusuluhishwa bila suluhu. Kwenye mambo ya kifamilia tuko pamoja sana ila kwenye kuharibiana maisha binafsi tumeshindikana
Ameen auntie [emoji120][emoji120] yaani auntie we ndio mimi nimekuwa mvivu na jf sasa hivi na haya mambo za bundle ndio kabisaaaaNakumbuka Auntie... Kila lenye kheri Dear....Utamaliza kabisa....
Suala la bundle kipengele Auntie..
Mimi mwenywe kuna wakati nakuwa mzito kuingia JF hadi najisemea ndiyo mda wa kuachana nayo nini?[emoji2]Nikikumbuka wakati najiunga humu kuna watu walikuwa Active balaa leo siwaoni... Najisemea tu na mimi ndiyo napotea hivyo[emoji2]Labda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliosoma Cuba tumekuelewa binamu yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi vikoba vitatuua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie mimi yangu ni balaa...
Kuna kimoja hicho.... kinanipa kiungulia Wallah...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli binamu waisubirie tu...asante kwa kunielewa, sasa wale waliosoma Thailand kwa kina maning'ining'i wasubiri episode ya 27
Hapana auntie niandalie ya ukwaju ila usiniwekee iriki tu wala mavitu mengineAuntie!!!! Auntie!!!
Naomba siku nikuandalie... Utakuja kufuta hii comment[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...ukipotea bila kunipa mawasiliano yako nitaitisha press na naweka tangazo ITV Daima lirushwe kwenye taarifa ya habari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....kuchangia damu ni ubinadamu, mara ya mwisho niliacha kuchangia sababu walisema soda na biskuti zimeisha. Wana namba yangu, nikawaambia zikiwepo wanitumie ujumbe mfupi
Kabisa.. kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tafiti zinakuwaga za kweli auntie
Yaani apple punch haipiti kabisaaa mdomoni yaani auntie kuna vitu me sitaki hata kuviona[emoji23]
Silipendi!!!...Na hiyo Mirinda nyeusi..Hapana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me muhuni siku zote auntie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie uhuni umeanza lini?
Ile neno Cuba nikiliona nacheka hovyo..
Msalimie sana jamani..Hahaha bora sakayo anaonja wine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Au basi bwana
...kuchomea tena sio kidogo. Majuzi anko Lee aliniharibu kwa aunt yangu so akaona aniharibie na mimi kumbe tayari nishamsoma, nikampa namba ya wale wadada waonatoa ushauri nasaha. Kilichompata huko kaahidi kuniharibia. Hapa nilipo nimemuandikia aunt yangu amsamehe lakini hataki kujibu, nampigia simu lakini simu inaenda voice mail, eti ukisikia mlio rekodi ujumbe wako, niko studio narekodi nimtumie[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanakuchomea?
[emoji23][emoji23][emoji23]...asante kwa kunielewa, sasa wale waliosoma Thailand kwa kina maning'ining'i wasubiri episode ya 27
Hahahaha zimefika auntieMsalimie sana jamani..
Mwambie Maki anakusalimia sana..