Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,874
- 183,177
Dada wewe hupendi hela?Nyau wewe!!! Unapenda hela kama Wallet[emoji28]
Hiyo Damu uliambiawa ipo nyingi au unajisemea tu?
Nakumbuka kuna wakati nilienda ku'donate Damu bhana... nikijua damu imezidi.. Ile nafika wananichukua vipimo.. nikaambiwa sina damu ya kutosha[emoji848]... wakanielekeza vitu vya kuongeza damu.. Nilichoka.
Mie ninayo nyingi sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaza huyo anayeongezewa damu yako masikini[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]