Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Mkuu niko makini sana tuKuwa makini na feki feki
Mkuu niko makini sana tuKuwa makini na feki feki
Usalama kwanza ndio priority...AKA kipaumbeleMkuu niko makini sana tu
Kwa ufupi ni kwamba huu uzi Unatamanisha.Natumaini unamaanisha wengi wanajikuta wanatuchungulia makapuku hata bila kupenda maana ukufungua lazima itajitokekeza kua iko active all the time.
ndo nini hiyoHuu uzi umeipa forum partial paralysis
Kweli kabisaa mkuuUsalama kwanza ndio priority
All eyes iko kwa kapuku forum (not actual translation)
HahahahaaaaNitoe kwenye hao wachoyo
Nilikuwa sijaekewa mkuu,ila mshana jr amenisaidia.Na nini tena?
Kwani mi mchoyo?Hahahahaaaa

Haaa mie nilikua kila nikirefresh thread nakutana nayo ikabidi niingie ndani

Karibu mpenziHaaa mie nilikua kila nikirefresh thread nakutana nayo ikabidi niingie ndani
Mkuu wewe ni mchoya sana tu.Kwani mi mchoyo?![]()
Ilikuwa ni namna ya kuwasogeza karibu.. Karibu tena jiraniKwani mi mchoyo?![]()
Asante @nahreen dearKaribu mpenzi
Hahahahaaa... Kakunyima niniMkuu wewe ni mchoya sana tu.
Changamka huku ni spidi tu ukizubaa dk 10 utakuta zimeongezeka page 3Haaa mie nilikua kila nikirefresh thread nakutana nayo ikabidi niingie ndani
mshana jr njoo huku Nahrene anasema yeye si mchoyo.Uchoyo huo umeanzia wapi?![]()
![]()