Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
Nimeshangaa auntie kumbe baby wako alimtumiaHaya sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeshangaa auntie kumbe baby wako alimtumiaHaya sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi binamu obe alikuuliza kweliMweeeeh!! Hebu uliza tu naweza kukupa majibu mazuri kuliko yeye.
Khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie tutaongea....
Wakiongea wanaonana kwa glassNa yako bado mapya kabisa...
Tutakuambia nini saa hii!!![emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku yakinishinda nitaungana nanyi, ila kwa sasa msiniambie chochote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutabaki hapahapaSoon napewa dunia, mtafute tu pa kwenda.
Kwani auntie unakunywagaWoooi!! Ili unichanganyie mirinda nyeusi na k.vant nisahau madeni ninayokudai!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usinikumbushe aloooh unaona dunia yote yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka!!!
Ila penzi jipya lina vituko jamani....
Auntie ukiongea vikoba nakumbuka kuwa nina deni hivi vitu usiviongee kwa sauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujinga mtupu. Woooi!
Mie nawaza vikoba huo muda nautoa wapi. Labda hizo msg ziwe za "imethibitishwa..."
Mweeeh sipendi juice ya ubuyu mimiNdiyo Ipo...tena ukipata ule wa unga....
Unachanganya na rozela na Iliki.... Wueeh! Utajibamba...
Ukishindwa kutengeneza...nitumie[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unawaza michezo unawaza vikoba unawezaje kuwaza na mapenzi jamani tutafuteni helaaa tuuuWatoto ndio wako na huo muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si penzi jipyaaa auntie. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanini mshikiane simu sasa?
.....huyu ndiyo ambaye tunafanyaga maombi ya mkesha.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nani huyo???
....aunt, sikuuliza maana nilipata majibu toka kwa muhusika mwenyewe. Halafu niliyetaka kumuuliza alisema alikutana na shemeji yake mlevi, mara ya mwisho nakumbuka sikuwa mlevi[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi binamu obe alikuuliza kweli
....my dear stranger, akikunong'oneza utasahau yote ya kweli niliyokuambia. Ni mtego, halafu huyu ni anko wangu lakini tuna uadui wa ukoo, muulize Nigendako ni shahidi.Ninong'oneze..
[emoji23][emoji23][emoji23]....aunt, sikuuliza maana nilipata majibu toka kwa muhusika mwenyewe. Halafu niliyetaka kumuuliza alisema alikutana na shemeji yake mlevi, mara ya mwisho nakumbuka sikuwa mlevi
Wacha we!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] penzi jipya simu bado tunashikianaa mkuu
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Poleniii