Makapuku Forum

Makapuku Forum

Alyekuwa kiungo wa Manchester United, Nemanja Matic amejiunga na AS Roma ya Italia kwa kandarasi ya mwaka mmoja hadi 2023.

Matic ameungana tena na kocha Jose Mourinho kwa mara nyingine baada kumsajili kutoka Benfica kwenda Chelsea kisha Man United na sasa As Roma.View attachment 2261827
Waelimishe baadhi wa waandishi wa habari hususan watangazaji pamoja na raia huwa wanashindwa kutamka jina hilo kwa usahihi.

AS Roma =ei esi Roma ✓, badala yake husema

ei sii Roma ×

BTW nakusalimu sana
 
Back
Top Bottom