Ahaa kumbe umehamia kwenye nyumba ingine ile siku ile umenituma nipeleke zile taa kule bahari beach ile ya ufukweni kule eeeh! jumamosi nitakuja nikusalimie dada
Ila HM... sasa mimi huko Masaki naenda kufanyaje jamani?
Mitaa yenu hiyo.. si unaona hadi Hotel unaijua
Una matatizo mengi walah!
Napendaga nywele zake zilivyo...
Nikukute basi.Kwendaaaaa....
Nakujua dada yangu wa nguvu huna makuu na hupendi shownije kunywa hata chai Tajiri yangu
Nilikuoa lini?Hebu niache we' Binti..
acha niingie kwa muhindi sasa
Haya bhana..
Ninapoenda napajua mimi...Lift uende wapi tena.. dalala lini ikawa na lift mia nne yako tu unapanda
Basi karibu chai na mkate.
Kweli mbele ya chai hakuna mkate mgumu...
alafu kwanini ulikata ile course pale Havard ambayo wanakutana matajiri na viongozi wakubwa wakubwa tu duniani nakumbuka hata Sumaye alifanya ile course ya mambo ya Leadership sijui.. au biashara zimekutinga ☺️☺️..Ninapoenda napajua mimi...
Nikuchek saa ngapi sasa? Nile Kiyoyozi mimiwaiiiii
Unamkaribisha chai aina gani na mkate wa aina gani ? Huyu ana mikate yangu maalumu huwa inatoka Egypt kitu kama sikosei na chai yake ni maalumu sidhani kama majani yanapatikana kwa mangiBasi karibu chai na mkate.
Kitu DZD Autobiography nikina Shunie hujawapa hata lift au kwakua unafanya siri.. Inabidi unisamehe kwa kuwa kihele hele kusema una Range Rover mpya
Umefanya siri, mie nilikuta parking nimeunga dot uliposema matajiri mnabadilisha magari
Acha hizo HM.... sasa wewe hadi umejua kina Shunie wasijue kweli?
Si unaona hadi wao wanashangaa tu
Ahaa kumbe umehamia kwenye nyumba ingine ile siku ile umenituma nipeleke zile taa kule bahari beach ile ya ufukweni kule eeeh! jumamosi nitakuja nikusalimie dada
Nyingine nakuachia.Uzuri hizo unakwenda nazo
Matatizo yangu mengi yapi sasa jamani...Una matatizo mengi walah!
hauwezi kujua kwa idadi ya nyumba ulizo nazo ngumu kukumbuka asee, labda yule PA wako ndio anajua
Dadeki...
Si unaona unavyoijua vyema mitaa yako hiyo? Mimi huko hata sipajui aisee