Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Litoke wapi Auntie kwa Kapuku mimi...

ESPY Huyo ndiyo ananiotesha mandoto makubwa makubwa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuote tu dada yangu, hatuwezi teseka kwenye uhalisia na kwenye ndoto kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusalimiane kwanza basi Auntie..
Sina Jeep jamani.. naomba hizi shutma zipuuzwe kabisa..[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23] unafikiri naweza kukuelewa kirahisi rahisi auntie ebu niache bwanaa
 
Aweeeeeh
 
HUKO YANGA KUNA KIGOGO ANAUTAKA URAIS
.
Uchaguzi Mkuu wa Yanga unatarajiwa kufanyika Julai 10, huku habari ZA NDAANI Kabisa zinasema kuwa mmoja wa vigogo wanaoifadhili timu hiyo anakipigia hesabu kitu cha urais wa klabu hiyo.
.
Habari kutoka ndani ya Yanga zilizopenyezewa kwenye kona hii, zinasema kigogo huyo anayetoka kwenye moja ya kampuni zinazoidhamini klabu hiyo ameanza kusuka mipango hiyo kitambo hata kabla mchakato wa Katibu Mpya ya klabu hiyo iliyohama kutoka kuendeshwa na wanachama na kuwa ya wanahisa (kampuni).
.
Inadaiwa, kigogo huyo amekuwa akifanya kila kitu kwa sasa ili kutengeneza mazingira mazuri ya kuonekana kwa wanachama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…