Makapuku Forum

Team gani hiyo jamani? Hadi ikapelekea maamuzi haya?

Ila HM liliweza bhana...uuuwee!!!
Nakuona hapa mataa mbele yangu , kitu kama piruuuu.. tisha sanaaa una issue gani huku mikocheni mala ya tatu nakuona hapa unakata kushoto.. au umehamisha ofisi 😬😬😬

Team mbaya mbaya hivi haikufungwa ila iliyotoa draw Jioni utakuwa maeneo yako nini nije na markup pen nipige kachataa kiduchu tu pembeni ya tyre
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…