Hapana bwana auntie soma convo za juu King alivyomwambia makii msalimie mdogo wake nikahisi wewe kumbe sio mama jeep ni auntie makiiiHebu nifafanulie auntie! Mimi naitwa king wa mama jeep?
Oooh!! Sasa auntie mi na majeep wapi na wapi wakati hata baiskeli sinaHapana bwana auntie soma convo za juu King alivyomwambia makii msalimie mdogo wake nikahisi wewe kumbe sio mama jeep ni auntie makiii
Oooh!! Sasa auntie mi na majeep wapi na wapi wakati hata baiskeli sina
Team gani hiyo jamani? Hadi ikapelekea maamuzi haya?Ushabikiwa wa mpira mmbayaa, niliapa team yangu isiposhinda ningeachana na ile ID
Unanielewa vyema nikisema hivyo Aunty akee..Nakufatilia auntie kwa makini sana
Ha ha ha ha...nikajua auntie espy
Naomba lift bwana auntie japo kidogo tu nipandw jeep
Hapana auntieee niacheeeeUnanielewa vyema nikisema hivyo Aunty akee..
Mamaa wa jeep auntie nakusalimia
Karma ameshabadili tenaHa ha ha ha...
Hamna ni Dogo Karma Auntie..
Litoke wapi Auntie kwa Kapuku mimi...
ESPY Huyo ndiyo ananiotesha mandoto makubwa makubwa...
Hebu nifafanulie auntie! Mimi naitwa king wa mama jeep?
sasa mama jeep ni auntie maki auntie
Naomba lift bwana auntie japo kidogo tu nipandw jeep
Ndiyo....Karma ameshabadili tena
Espy aliniambia mdomo Uumba..bora we unaoteshwa mandoto makubwa auntie mimi je uku
Nakuona hapa mataa mbele yangu , kitu kama piruuuu.. tisha sanaaa una issue gani huku mikocheni mala ya tatu nakuona hapa unakata kushoto.. au umehamisha ofisi 😬😬😬Team gani hiyo jamani? Hadi ikapelekea maamuzi haya?
Ila HM liliweza bhana...uuuwee!!!