Makapuku Forum

Mohamed Salah amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa msimu wa chama cha waandishi wa habari za michezo England

44 games

30 goals

14 assists
 
Huyu mtoto wa Mazinho licha ya kuchukua uraia wa Hispania ila Ubrazil wake haujaondoka damuni mwake

Wabrazil wanaenjoy sana kucheza mpira, wanaenjoy kuburudisha, dhidi ya United alikuwa akicheza huku anacheka, alipotolewa akawa anacheka zaidi

Sio mchezaji wa kukunja sura, sio mchezaji mwenye presha uwanjani, kwake mpira ni kama wasanii na vipaza au Mkulima na mazao yake

Anaitwa THIAGO
 
Auntie kwanza me nahisi nina presha ujue uwanjani sijawahi kwenda kuangalia simba yaani.
itokee tumefungwa nitazimia sijui maana nikiwa nyumbani tu tukifungwa nazima tv naingia kulala
Wewe ni mimi Auntie


Nikiangalizia mpira nyumbani preshs inakuwa kubwa kuliko.. Uwanjani sijui ndiyo itakuwaje..Maana kufungwa mimi sitaki kabisa.. Naumia


Nikikumbuka World Cup ya 2018 mama yangu alikuwepo...siku Timu zangu zinacheza Alikuwa ananiangalia hanimalizi.. Ile siku ya final nakumbuka ilikuwa J2..hapo natamani Croasia washinde, natamani France washinde..Sitaki kukumbuka ile siku
 
PRESS FINYA KUNG'UTA

Ralf Ranginck ni kocha mpya wa timu ya taifa ya Austria mpaka mwaka 2024

" Mwisho wa msimu huu nitakuwa kocha wa timu ya taifa ya Austria lakini nitaendelea kuwa mshauri wa ufundi wa Manchester United . Nipo tayari kuisaidia United kuwa timu bora tena ."
 
yaani bar au sehemu ya watu wengi ndio ninaweza kuangalia mpaka mwisho yaani sijui kwa nini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…