Karibu sana dearOoh Asante , nitakuwa napita kwa karibu sasa
@Makiwendo hivi huku panaitwaje vile?Safi sana auntiekwahiyo upo pande ipi jamani
Teh teh yeeeh!! Mtoto mlito mlito
Kwamba hupajui@Makiwendo hivi huku panaitwaje vile?
Nihamishe chako? Kikihama hakirudi lakini
Nimecheka mimi jamani..
Hebu fanya kama unakihamisha halafu ukirudishe
nacheka sana
Njema hawajambo hapo ulipo dadaWazima kaka habari yako
Hakuna simu bora hapa duniani kama tekno auntie, ila ni wivu tu wa watu kutuchafulia simu zetuKazini kuna mtu anayo ujuejamanii me siwezi kabisa acha tu nitumie wereva yangu
Sasa je, baada ya kesi ndio utanielezea ugomvi ulihusu nini. Na kama ni suala zito naenda kulianzisha tenaaakwamba baada ya kesi ndiyo unauliza?
Nimecheka
Ndugu mnavaa magramu na madeni yangu hamnilipiusikatae ndugu zako hata kama hatuna hela
nimecheka sana auntie hata ukiscreenshot sijali wala nini kuna mtu aliniambi shunie picha zako zinasambaa nikamjibu ndio vizuri cha nitrend tu kwa watu alichoka
Mmmmh we mgeni ili nimwambie shunie dadangu ajipatie wifiii@Makiwendo hivi huku panaitwaje vile?
Wazima kabisa mndali, karibu.Wazima wote humu ndani?
msema kweli mpenzi wa munguWeeeh!! Unanikania ndugu yangu hivi hivi
Hahaha watu na tecno zenuHakuna simu bora hapa duniani kama tekno auntie, ila ni wivu tu wa watu kutuchafulia simu zetu
Yaani mnaagiza then mnasubiri 4 weeks!! Sina huo uvumilivu auntieYaani hawaamini kikuu nilipommaliza kumwambia tu vitu vinafika baada ya week 3 au 4
Daaah nyie kipindi kile jamani, hutamani kuweka simu chini woiiiiiHakuna wa kukusuta HS....
Umenikumbusha ile JF ya enzi zile
Unajisahaulisha eeh!!Hivi me unanidai
Bila energy drinks hatutoboi wallahna mkifika mbinguni mnapewa energy zenu za kutosha na kalumbu mwenzio