[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba baada ya kesi ndiyo unauliza?Ukiniita nikifika nacheeeka, yaani huo ndio msaada nitakaokupa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usijali ndugu yangu nikifika si unanijua, nanunua kesi kwanza then baadae ndio nitakuuliza kwani ugomvi unahusu nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila iphone yangu anataka aninunulie kutoka kikuu!! Mwambie anachokitafuta atakipata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuhusu kikuu umenikumbusha jana ila Lee kuan kitu alikuwa anataka na hiko kitu kipo kikuu tu namwambia nikuagizie ooh hapana kama kipo kikuu yaani anahisi vitu vya kikuu vya uwongo haviendani na picha yaani nimefanya kazi kumuelekeza naona imeshindikana
hahahaha.ok.poa poaSijakumention mtu Chake..
Hapo nimeandika kama sentensi...
Umepata notification kwani?
Japo kwa App. Notification ni Changamoto
Sawa[emoji28]Kwendaaaaa!
[emoji1787][emoji1787] usikatae ndugu zako hata kama hatuna helaNaenda kuomba ukoo kwa Dangote, ndugu gani hamlipi madeni yangu?
Mnafikiri Mungu shangazi yenu eeeh? Endeleeni tu.Naaam auntie hatujali wala nini mapenzi yakiisha tunamwachia Mungu tu
Kabisa Auntie...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani me mwenyewe sijui nitafanya woiiiiii tukifanya auntie tutakuwa pamoja maisha ndio hayahaya bwana tunaishi mara moja tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila MeloBahati nzuri melo mwenyewe anapenda ubuyu, atauacha acha hadi ufikishe page elfu mbili.
Nilipe huko[emoji57][emoji57][emoji57]Hutaki lilipwe au hutaki nilipiwe?
Si mlipe madeni yangu sasa!Usitufanyie hivi auntie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana auntie hata ukiscreenshot sijali wala nini kuna mtu aliniambi shunie picha zako zinasambaa nikamjibu ndio vizuri cha nitrend tu kwa watu alichokaSasa mbona mimi huwa hunihadithii? Usijali sitoscreen shot[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weeeh!! Unanikania ndugu yangu hivi hivi[emoji2297][emoji2297]mmmh,nani kasema .tumeanza lini? Si kweli
Ooh Asante , nitakuwa napita kwa karibu sasa [emoji7]Jamani unapitaje juu juu dear yaani mda sana sijakuona nimesema leo ngoja tu nimwite mrembo mzuri mzuri [emoji8]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimewasahau majina.Watu wa ajabu ajabu ni kama nani?[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23] Yaani hawaamini kikuu nilipommaliza kumwambia tu vitu vinafika baada ya week 3 au 4[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila iphone yangu anataka aninunulie kutoka kikuu!! Mwambie anachokitafuta atakipata.
Teh teh yeeeh!! Mtoto mlito mlito[emoji6][emoji6]Niacheeee na utoto wangu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi me unanidaiSi mlipe madeni yangu sasa!
Ukiiwasha inaandika tekino[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Utaivalisha Cover la Iphone halisi[emoji23]
Wazima kaka habari yakoWazima wote humu ndani?