Ukiniita nikifika nacheeeka, yaani huo ndio msaada nitakaokupa
Usijali ndugu yangu nikifika si unanijua, nanunua kesi kwanza then baadae ndio nitakuuliza kwani ugomvi unahusu nini?
kuhusu kikuu umenikumbusha jana ila Lee kuan kitu alikuwa anataka na hiko kitu kipo kikuu tu namwambia nikuagizie ooh hapana kama kipo kikuu yaani anahisi vitu vya kikuu vya uwongo haviendani na picha yaani nimefanya kazi kumuelekeza naona imeshindikana
hahahaha.ok.poa poaSijakumention mtu Chake..
Hapo nimeandika kama sentensi...
Umepata notification kwani?
Japo kwa App. Notification ni Changamoto
SawaKwendaaaaa!
Naenda kuomba ukoo kwa Dangote, ndugu gani hamlipi madeni yangu?
Mnafikiri Mungu shangazi yenu eeeh? Endeleeni tu.Naaam auntie hatujali wala nini mapenzi yakiisha tunamwachia Mungu tu
Kabisa Auntie...yaani me mwenyewe sijui nitafanya woiiiiii tukifanya auntie tutakuwa pamoja maisha ndio hayahaya bwana tunaishi mara moja tu
Bahati nzuri melo mwenyewe anapenda ubuyu, atauacha acha hadi ufikishe page elfu mbili.
Si mlipe madeni yangu sasa!Usitufanyie hivi auntie
Sasa mbona mimi huwa hunihadithii? Usijali sitoscreen shot
Weeeh!! Unanikania ndugu yangu hivi hivimmmh,nani kasema .tumeanza lini? Si kweli
Ooh Asante , nitakuwa napita kwa karibu sasaJamani unapitaje juu juu dear yaani mda sana sijakuona nimesema leo ngoja tu nimwite mrembo mzuri mzuri
ila iphone yangu anataka aninunulie kutoka kikuu!! Mwambie anachokitafuta atakipata.
Hivi me unanidaiSi mlipe madeni yangu sasa!
Wazima kaka habari yakoWazima wote humu ndani?