Weeeh!! Nimejua sasa wanaowajaza ujinga, ndio maana hamkuiNiache auntieuzee kwako mtoto kwa babe wangu mwenzio ananibeba na uzee huu
Eenh mimi auntie
Ndiyo Kipenzi
Mbona viboko..Nani huyo? Ni Shunie?
Si kama chako tuKichwa kama mbegu ya ubuyu.
Auntie mbona unanitisha sasa
Unajua wewe Akili huna...
Umenikumbusha jana kwenye ule Uzi namna nilikuwa nacheka....
Ndio Shunie, nimeona nianze tu kuwatandika viboko maana mnajua kuniweza
AlilililiiiiiiiiiiNiache auntieuzee kwako mtoto kwa babe wangu mwenzio ananibeba na uzee huu
Lipa madeni yangu tumalizane. Lasivyo nakufungulia uzi, nitaunganisha na Shunie humo humo.
Hatujambo maka akee za weweNdugu zangu wa daaamu kabisa, hamjambo humu?!?
Ni wivu tu
Alilililiiiiiiiiii
Na mbengo zeta fongoka
Kwahiyo nani hayupo karibu labda?Dec 27 auntie hivi auntie makiii utakujapo kwa besidei eenh we si tupo karibu
We shindwa!! Unanijulia wapi mimiPyuuuuuuuu....
Nasemaje, Mimi nakutambua vyema sana..
Kwahiyo nani hayupo karibu labda?
Halafu unazaliwaje mwisho wa mwaka na wewe
Nakosaje amani sasa na mnanipa stress tu kila sikuhivi utaishi kwa amani kweliii
Hapa hakuna kulipwa, bora tu nifute undugu kwa amaniHe he he....
Hilo deni litapata Msamaria mwema hapa hapa...
Tulia
Nakosaje sasa Auntie Akeee..Dec 27 auntie hivi auntie makiii utakujapo kwa besidei eenh we si tupo karibu