Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka balaa...

Hata ukinikana wewe bado ni ndugu yangu tu...tunaweza tusiongee miaka/ miezi ila siku ukifunga kauli/ nikifunga kauli, utanizika/ nitakuzika bila kupenda[emoji2]

Huwezi kuukana Undugu...Urafiki sawa....

Sasa huyo uliyemwambia kwamba hunijui nenda katengue kauli yako[emoji2]
Sasa mambo ya kuzikana yanatoka wapi mapema yote hii jamani[emoji2297][emoji2297][emoji2297] shindwaaa!!

Kauli hiyo sitengui "simtambui mtu huyu" [emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kila siku unanidai...
Hebu sema hapa naweza kupata watu wakanilipia hilo deni[emoji2]
Au ni ile zawadi kama uliyonitumia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana ndugu yangu akili zako wewe[emoji114]
Ubinadamu kazi sana, zawadi unapewa halafu unalalamika mweeh!! Usijali, ya mwaka huu nitai-upgrade[emoji6]

Nakudai milioni moja na eflu ishirini mia mbili.
 
Ubinadamu kazi sana, zawadi unapewa halafu unalalamika mweeh!! Usijali, ya mwaka huu nitai-upgrade[emoji6]

Nakudai milioni moja na eflu ishirini mia mbili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba Milioni ngapi?
Nyieeee!!!! Oneni mambo yanayonitesa kwa huyu ndugu yangu[emoji2]
 
Back
Top Bottom