Makapuku Forum

Makapuku Forum


Nimecheka balaa...

Hata ukinikana wewe bado ni ndugu yangu tu...tunaweza tusiongee miaka/ miezi ila siku ukifunga kauli/ nikifunga kauli, utanizika/ nitakuzika bila kupenda

Huwezi kuukana Undugu...Urafiki sawa....

Sasa huyo uliyemwambia kwamba hunijui nenda katengue kauli yako
Sasa mambo ya kuzikana yanatoka wapi mapema yote hii jamani shindwaaa!!

Kauli hiyo sitengui "simtambui mtu huyu"
 

Wewe kila siku unanidai...
Hebu sema hapa naweza kupata watu wakanilipia hilo deni
Au ni ile zawadi kama uliyonitumia?
Maana ndugu yangu akili zako wewe
Ubinadamu kazi sana, zawadi unapewa halafu unalalamika mweeh!! Usijali, ya mwaka huu nitai-upgrade

Nakudai milioni moja na eflu ishirini mia mbili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom