Naaaaaam!!!!!Je wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalamtoto mlito mlito
Sasa mambo ya kuzikana yanatoka wapi mapema yote hii jamani
Nimecheka balaa...
Hata ukinikana wewe bado ni ndugu yangu tu...tunaweza tusiongee miaka/ miezi ila siku ukifunga kauli/ nikifunga kauli, utanizika/ nitakuzika bila kupenda
Huwezi kuukana Undugu...Urafiki sawa....
Sasa huyo uliyemwambia kwamba hunijui nenda katengue kauli yako
Ubinadamu kazi sana, zawadi unapewa halafu unalalamika mweeh!! Usijali, ya mwaka huu nitai-upgrade
Wewe kila siku unanidai...
Hebu sema hapa naweza kupata watu wakanilipia hilo deni
Au ni ile zawadi kama uliyonitumia?
Maana ndugu yangu akili zako wewe
Auntie unavyomtetea kipenzi chako
Uchochezi huo Auntie...
Twende taratibu...
Ila anaweza kinilipia.....Hana baya..
Nyie subirini nawaambia.hivi auntie kuweza
Naaaaaam!!!!!
Twende kazi Aunty akee...
Namruka ndio, kwani mie nawajulia wapi mimiIla auntie kwa akili zako unaweza ukawa umemruka kweli
Auntie na me naomba zawadiUbinadamu kazi sana, zawadi unapewa halafu unalalamika mweeh!! Usijali, ya mwaka huu nitai-upgrade
Nakudai milioni moja na eflu ishirini mia mbili.
Yanaishaje na hamyalipi ndio kwanzaaa mnaongezea na ya kikuu nyieHaya madeni kila siku hayaishi
Na me nimeunganishwa kwenye kutokujulikana auntieNamruka ndio, kwani mie nawajulia wapi mimi
Ajaribu aone..
Ananijua vyema Auntie
Na vichambo vyake hivyo angejua hajui
Na uzee huo unajiita mtotoJe wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalamtoto mlito mlito
Kipenzi chake sasaAuntie unavyomtetea kipenzi chako
Siwatambui kabisa mimi.Na me nimeunganishwa kwenye kutokujulikana auntie
He he he...Kufa kupo tu...Sasa mambo ya kuzikana yanatoka wapi mapema yote hii jamanishindwaaa!!
Kauli hiyo sitengui "simtambui mtu huyu"
Ubinadamu kazi sana, zawadi unapewa halafu unalalamika mweeh!! Usijali, ya mwaka huu nitai-upgrade
Nakudai milioni moja na eflu ishirini mia mbili.