Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
....kikubwa upendo tu, huu ndiyo ukweliHata ungekuwa mzee au kijana..
Kikubwa Upendo Uncle..![]()
Niwe mzee niwe kijana , niwe muhuni kikubwa upendo
....kikubwa upendo tu, huu ndiyo ukweliHata ungekuwa mzee au kijana..
Kikubwa Upendo Uncle..![]()
Wacha hizo Shem..Mtaachana tu![]()
He he he!!! Kwa hiyo hulipi?
Auntie umenikumbusha kitu.. Basi tu..
Tuimalizie Ijumaa kuu vyema..





Kitu gani auntie unajua sisi wahenga bwana
HamtoachanaWacha hizo Shem..
Tutaachana sawa.. ila kwa sasa wacha tu'enjoy..
....kikubwa upendo tu, huu ndiyo ukweli
Niwe mzee niwe kijana , niwe muhuni kikubwa upendo
![]()





nyieeeeeee...nitalipa tena naongeza na ng'ombe 7. Ndugu zangu wakikaa kikao tutaona walipie kiasi ganiHe he he!!! Kwa hiyo hulipi?
Naaaam itakapofikia kuachana potelea poteeeeWacha hizo Shem..
Tutaachana sawa.. ila kwa sasa wacha tu'enjoy..
...nitalipa tena naongeza na ng'ombe 7. Ndugu zangu wakikaa kikao tutaona walipie kiasi gani






Aliweka gazeti moja then kimya..Alifanyaje kwani auntie
Bora ingekuwa Mwananchi..
Aliweka gazeti moja then kimya..
Gazeti aliloweka sasaBora ingekuwa Mwananchi..




citizen au...basi nimekapenda kanyau kake, hata nipapase manyoya yake tu. Au huwa unakanyoa kanyau kake?
Ana kanyau kake![]()
He he he!!!...nimeshalipia zile alizokunywa mwanzo, hizi za nyongeza analipa mwenyewe. Au naongopa anko !!!/

Hahahahah niliweka mengiAliweka gazeti moja then kimya..
Gazeti aliloweka sasaBora ingekuwa Mwananchi..
...basi nimekapenda kanyau kake, hata nipapase manyoya yake tu. Au huwa unakanyoa kanyau kake?



Leo ni Amani, Amani Aunty akee..Kitu gani auntie unajua sisi wahenga bwana

Una id moja eti ?Leo ni Amani, Amani Aunty akee..
Tuyaache yale yamepita![]()