...wewe sasa ndiyo ndugu yangu wa kweli, nilijua tu watu walitaka kunichonganisha nikose mambo mazuri. Kinywaji unachokunywa ongeza na kingine kwa gharama zako
...wewe sasa ndiyo ndugu yangu wa kweli, nilijua tu watu walitaka kunichonganisha nikose mambo mazuri. Kinywaji unachokunywa ongeza na kingine kwa gharama zako
...huyo aliyekwambia kuwa mimi ni mzee ndiye adui yangu, sina hakika kama ni Nigendako au mkwepu jr , yaani siku wameniona tu nimevaa foo engo tayari wakasema mimi ni mzee!!!!. Hiiiiiiiii, mimi ni kijana kabisa, mafao nnayokula ni vile tu nilistaafishwa ajira mapema