Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, IMEKWISHA. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake.
Heri ya Siku ya Ijumaa kuu Wapendwa wangu...
Kazi ya Lee Hiyomshakuwa wapenzi tena
Pole Auntie jamani...Auntie kiukweli sijanywa hata nguvu nilikuwa nayo ya kutengeneza sasa na hivi nipo mwenyewe
Hahhaa yaani Lee usimpe lawama alitaka anifate masikini nikamkatalia ananioea huruma nipo mwenyewePole Auntie jamani...
Hata Lee ameshindwa kweli jamani?
Kuna jambo analitafuta...si bure
Jamani....Hahhaa yaani Lee usimpe lawama alitaka anifate masikini nikamkatalia ananioea huruma nipo mwenyewe
Aliniambia nikae kae na Uncle karibukwamba kaunganisha
Jamani....
Ungekubali tu Auntie...kupendwa raha buana..
Aliniambia nikae kae na Uncle karibu
Anahitaji mtu wa kumuangalia
...na kwako pia.Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, IMEKWISHA. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake.
Heri ya Siku ya Ijumaa kuu Wapendwa wangu...
...yaani siwezi kabisa kujiangalia aunt, akili zangu na mwili zinahitaji sio tu uangalizi, nahitaji uangalizi wa karibu, Makiwendo awe kioo changu , nikianguka ananiamusha, nikilegea ananikakamalisha. Wabaya wakinisema vibaya ananiziba masikio nisisikieKwamba auntie binamu kujiangalia hawezi
Sijataka kumtesa sana masikini nilivyomtesa tu vinatosha
...yaani siwezi kabisa kujiangalia aunt, akili zangu na mwili zinahitaji sio tu uangalizi, nahitaji uangalizi wa karibu, Makiwendo awe kioo changu , nikianguka ananiamusha, nikilegea ananikakamalisha. Wabaya wakinisema vibaya ananiziba masikio nisisikie
Jamani anko anakupendaaKazi ya Lee Hiyo
Umri umekwenda sana Auntie...Kwamba auntie binamu kujiangalia hawezi