Makapuku Forum


Eti shemeji!! Ila afadhali labda nami nitapata nafasi ya kupumua ukiwa busy na mahaba.

Mwambie hatuhitaji hata mahari, akuchukue fasta fasta.
....hili neno limenifanya nijisikie faraja sana, maana hapa nilikuwa najipanga kuwachangisha ndugu zangu Lee , Nigendako shululu wajichangechange wanipe mahari na mshenga aje anitongozee huyu mrembo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…