Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Mwanamuziki wa siku nyingi John Kitime ambaye ni mmoja wa Wahusika kwenye Tuzo za Muziki Tanzania mwaka 2022 amesema mashairi ya Wasanii ambayo yatakuwa na ukakasi ni moja ya vigezo ambavyo vinaweza kuwanyima nafasi kwani yatawapotezea nafasi hiyo adimu ya kushiriki na kung'ara kwenye tuzo hizi za kitaifa.