Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
KMC YAREJESHWA NYUMBANI UHURU
.
Mabosi wa KMC kupitia msemaji wa klabu hiyo, Christina Mwagala wamesema wamepokea barua ya kurejeshwa katika uwanja wao wa nyumbani wa Uhuru.
.
KMC ilikuwa inatumia Uhuru kabla ya kuhamishiwa Azam Complex ili kupisha matengenezo madogo, lakini sasa wamerejeshwa tena uwanja huo maarufu kama ‘Shamba la Bibi’.
.
Mabosi wa KMC kupitia msemaji wa klabu hiyo, Christina Mwagala wamesema wamepokea barua ya kurejeshwa katika uwanja wao wa nyumbani wa Uhuru.
.
KMC ilikuwa inatumia Uhuru kabla ya kuhamishiwa Azam Complex ili kupisha matengenezo madogo, lakini sasa wamerejeshwa tena uwanja huo maarufu kama ‘Shamba la Bibi’.