Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,528
Aaah! Kwanza nahama hii familia, ina matukio kama urusi.Mwaka huu tuna Ugeni mzito kwenye familia![]()
Aaah! Kwanza nahama hii familia, ina matukio kama urusi.Mwaka huu tuna Ugeni mzito kwenye familia![]()
Nilikwambia ufunge kwaresma uombe, matokeo yake umekuwa chawa hata huombi
Sio makosa yangu![]()







Ndo maana nakupendaaaMwaka huu tuna Ugeni mzito kwenye familia![]()
Kwenye swala la jezi wapo vizuri sana jezi zangu zote za man u naagiza kikuuSi jez waliniletea nikaona kumbe wako vzur
Yah!! Kule kuna vitu vya kununua ika siyo vyote..Mmh duvet si nilikuelekeza pa kununua kwani uliorder kikuu kule kuna vitu na vitu vya kununua tu
Aaah! Kwanza nahama hii familia, ina matukio kama urusi.




kuhama auntie huweziAuntie Unamuona huyu lakini?

Ama mnajua kututisha,na akaachwa
Karibu Shem..Ewaaaaah ndo maana nakupendaa shem aunt
Kweli auntieYah!! Kule kuna vitu vya kununua ika siyo vyote..
Ndo kilichoniponza ...nikaagiza gari la L....hahahahaahah kikaletwaa ata kwenye kiganja hakieneiiKwenye swala la jezi wapo vizuri sana jezi zangu zote za man u naagiza kikuu
Umeniambia unaniagizia aifoni 14 kikuu.Hapana kumbuka vizuri
Ndo kilichoniponza ...nikaagiza gari la L....hahahahaahah kikaletwaa ata kwenye kiganja hakieneii





