Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,528
Na malizia sio za kikuuu...Bag zangu zinaanzia elfu 50
EwaaaaaYale anaagiza Direct kutoka kwa Madisignerkikuu hamna kitu pale
![]()
Nani kasemaa jaman kuwa ya kikuuYa kikuu![]()
Na senti mbiliHahahahaha kwamba wanaokuandama watasema kuwa mabegi ya shunie kumbe ananunua kikuu elfu sita mia saba![]()



Au nikufanye uwe shemchawaa![]()





Ila shunie ukifanya niagize duvet kikuu nikaletewa kitu kama taulooNa senti mbili![]()
Kikuuu mabag yao hapana kwakweliYale anaagiza Direct kutoka kwa Madisignerkikuu hamna kitu pale
![]()
Ahsante Shem lake..Na wewe umepitaaaa kabisaaaaa
Ndo siku umetoa info za aunt yako shunie ...vuta picha utachange id
Utanigombanisha na ndugu zangu.. Watanisema nichakae.. si unawaona lakini?
Nilikwambia ufunge kwaresma uombe, matokeo yake umekuwa chawa hata huombi
Yali mambo yakonina kazi mimi jamani..
Mungu na anisaidie![]()






Utanigombanisha na ndugu zangu.. Watanisema nichakae.. si unawaona lakini?





Sasa je?Kwahiyo wewe ni shemeji? Basi sawa.

Nilikwambia ufunge kwaresma uombe, matokeo yake umekuwa chawa hata huombi
Sio makosa yangu![]()





Mwaka huu tuna Ugeni mzito kwenye familiaKwahiyo wewe ni shemeji? Basi sawa.

Mie ninako kamoja nilinunua buku mbili mia tatu hamsini.Bag zangu zinaanzia elfu 50
Wakuharibie siyo?Mbaya sana....hapa wengine anawapa namba zangu

Mmh duvet si nilikuelekeza pa kununua kwani uliorder kikuu kule kuna vitu na vitu vya kununua tuIla shunie ukifanya niagize duvet kikuu nikaletewa kitu kama tauloo