NaddySL
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 995
- 5,193
Hahahaaa kumbee
Hahahaaa kumbee
Nalalaje na njaa bwana!! Nilikuwa nataka kupika halafu nikasahau. Sasahivi ndio nakumbuka sijala![]()




Pika sasa
Hawajawahi kunipa hata peremende, waje kudai waone!




ndo usubirie aifoniNaaaaam Shem lake...Usimsemeee sana shem darling ...hana wasi wasi na mimi
Babe sijawahi nunua bag kikuuuMabegi ya shunie mbona og

uko nanunuaga jezi tu za Manchester
Au nikufanye uwe shemchawaaSijamharibu...
Yeye ananikubali mimi.. Kwa mashemeji zake![]()


Mweeeh!! Dunia ina mambo hiiNaaam Shem... Niko hapa.
Neno lako kwangu ni sheria..


He he he.. Uncle huyu.Kwa hiyo ni binamu tu ndo anakufanya utabasamuuu...ana pisi kama 4 hapa sasa endelea kumchekea
Tulia basiKawa tena shem darling![]()

Hahahahaha kwamba wanaokuandama watasema kuwa mabegi ya shunie kumbe ananunua kikuu elfu sita mia sabaBabe sijawahi nunua bag kikuuuuko nanunuaga jezi tu za Manchester



Kabisa...Kabisa..Shem tuyaachee....sema hii dunia ni gunia
Na wewe umepitaaaa kabisaaaaaNaaaaam Shem lake...
Ishi sana Shem.. huna baya na mtu.. Wanakuvuruga tu..
Kwahiyo wewe ni shemeji? Basi sawa.Sijamharibu...
Yeye ananikubali mimi.. Kwa mashemeji zake![]()
Mbaya sana....hapa wengine anawapa namba zanguHe he he.. Uncle huyu.
Nalalaje na njaa bwana!! Nilikuwa nataka kupika halafu nikasahau. Sasahivi ndio nakumbuka sijala![]()




nina kazi mimi jamani..
Bag zangu zinaanzia elfu 50Hahahahaha kwamba wanaokuandama watasema kuwa mabegi ya shunie kumbe ananunua kikuu elfu sita mia saba![]()
Yale anaagiza Direct kutoka kwa MadisignerMabegi ya shunie mbona og
kikuu hamna kitu pale