Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Gold nilishapost mbonaTuwekee na mapicha ya magold bwana , tukomesheeee...
Pole bwana, mti wenye matunda mengi ndio hutikiswa na wengi. Ukiona huongelewi jua huna lolote
Huu mwaka hamna rangi ntaacha ona walah!!
Atajua yeye me nina chawa kila mahali.Hahahahaha anachat na watu wengine wanakuleteaa
Sio wazuri wanachochea moto![]()







Kama nilikufundisha ndio unataka kumletea auntie yangu iphone ya kikuu.Wewe ndo ulinifundisha hawa kikuuu


Wewe na Aunty yangu
Eti mnaishi store nasikia![]()
Ooh ngoja nirudi nyuma, mi nimekuja kusoma je wajua, nakuta ubuyu HahaaahaGold nilishapost mbona
We muache, nitatema mate chini macho yageukie kisogoni.Kama nilikufundisha ndio unataka kumletea auntie yangu iphone ya kikuu.![]()
Kwani ngao ya kidonge au ya maji binamu?
Mimi kwa kweli akibeep nakuunganisha nae
Store ya mabegi au store ya kama storeWewe na Aunty yangu
Eti mnaishi store nasikia![]()
Hahahha rudi rudi nyuma utakutana nazoOoh ngoja nirudi nyuma, mi nimekuja kusoma je wajua, nakuta ubuyu Hahaaaha
Niamini mimi ...mimi ndo mkwe wa ukweliiiKikuu tena
Hapa mkwe nimepigwa![]()
We muache, nitatema mate chini macho yageukie kisogoni.



hajui auntie ana nguvu
Mbona wewe wanakuletea mpaka mlangoni vitu ogKama nilikufundisha ndio unataka kumletea auntie yangu iphone ya kikuu.![]()
....anko hii siyo ya kidonge wala ya maji, ni ya unga lakini zote ziko sawa.
Ukimuunganisha atakutana na voicemail ikimwambia kwa sasa niko Mererani



anko ebhu washa zantel ...kinaumana soon hii hujaicheza vzuri na mimi niko napambana na aunt yako sitak kesi....