Aaah mie ninunulieni tu zile za buku. Hiyo ikipotea nitafufua mizimu yote kwa kilio.
Mashangazi mna nini?Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!
Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..
Dada kwaresma hiii ujueLazima Heineken zilihusika hapa
Kwahiyo yule kaka akasema mwenzie akaa store?
@Espy Eroni Makiwendo kukuche sasaWe mbwaaaahapo sio dukani hapo ni chumbani kwanguna hilo ni kabati langu la handbagssiishi store mimi na ukianza kuniongelea fananisha maisha yangu na yakoView attachment 2168507
Kama mimi jana kila nikisoma zile message zao napata hasira.
Aaah mie ninunulieni tu zile za buku. Hiyo ikipotea nitafufua mizimu yote kwa kilio.
Funguo inabidi ikae kwenye nyonyo lasivyo ni balaa.
Kwahiyo Jumamosi hatunywi? SitawezaDada kwaresma hiii ujueyaani huyu aombee tu kwaresma iishe na aombee nipate ban
We mbwaaaahapo sio dukani hapo ni chumbani kwanguna hilo ni kabati langu la handbagssiishi store mimi na ukianza kuniongelea fananisha maisha yangu na yakoView attachment 2168507
Acha tu..
Kwani weww Unaishi store?Kwani tunaokaa stoo tumekukosea nini auntie? Sijapenda
Aaah mie ninunulieni tu zile za buku. Hiyo ikipotea nitafufua mizimu yote kwa kilio.
Funguo inabidi ikae kwenye nyonyo lasivyo ni balaa.
Auntie naomba basi LV moja hapo?We mbwaaaahapo sio dukani hapo ni chumbani kwanguna hilo ni kabati langu la handbagssiishi store mimi na ukianza kuniongelea fananisha maisha yangu na yakoView attachment 2168507