Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashangazi mna nini? [emoji23][emoji23]Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!

Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..
Aaah mie ninunulieni tu zile za buku. Hiyo ikipotea nitafufua mizimu yote kwa kilio.

Funguo inabidi ikae kwenye nyonyo lasivyo ni balaa.
 
@Espy Eroni Makiwendo kukuche sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo tusi Lee anahusika 100% Aki[emoji23]

My Rich Aunty huyo..[emoji8][emoji8]
 
Auntie naomba basi LV moja hapo?[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…