Umenifanya nipande mlima nisome tena comment..Auntie we ni nani nisikusilize hivi Indira ghandi kwenyewe anapajuaau basi tuishie hapa
Umenifanya nipande mlima nisome tena comment..
Apajulie wapi sasa?
Nilikuwa sijaelewa...Wengeulikuwa haujaelewa auntie
Nache basi Auntie....vitu vinachekesha ujue
kwaresma iishe nipige chupa zangu za kijani mie
Tusifokeane bwanaShunie mma shunie majiiiiutake utaniongelea tu usitake utaniongelea ipo hivyoooooo
Halafu jobless mimi navaa gram 10 shingoniusishindane na mimi kabisa kukaaa na mbwa wenzio kuniongelea ongelea View attachment 2168205
Take Us slow Auntie!!! Pls...
Eti Shunie mma..Shunie majii
Nimecheka hivyo...
Auntie naomba hata gram moja basi..Nami nitoe hivi vyuma chakavu maskioni
Bado siku wiki kadhaa tu tunamaliza...kwaresma iishe nipige chupa zangu za kijani mie
Sawaaa!ila niambie kinaendelea nini !kama vipi nikodo baasi nna,sijapata ban siku nyingiauntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao
Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai storewakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii
Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
Mwenzangu....mabondo
umepata auntie tutaenda Indira ghandiunapoamua kunisema ujue kuvaa hata silver basi mtu mshamba upo uswekeni uko unaanza tu kuniongelea hovyo
Ha ha ha ha...uswekeni kwiooo!!makiwenddo!
Mwanao mpe maji anywee
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Acha tu life hiili!hii infinix tolea la kwanza kabisaa!!!na kimeo balaa!Auntie malipo ni hia hia nakwambia. Unavaa milioni mbili wakati mimi simu nimefunga na "barabendi"
Nnavyo hapa sikioni kaahh!tutajua hatujuiMwenzangu....mabondo
Ukipoteza hata hereni moja huwazi
Ha ha ha ha...
Ameshatulia...ila akikimbuka hasira ikipanda tena analiamsha
Vita ni vita Rey