Ila Auntie jamani...
Imagine saga lote hili hata hakuna kitu nimeona... hebu nipasie kidogo basiAu tuyaache?
Mtu kabeba na mimba mpaka kuitoa bila kujua
Ila... Huyo jamaa kazi anayo
Naona mwingine jana kalike comment ya Shunie hapa.. Nilicheka
Hivi uliona ile anaambiwa eti shunie anataka kuzaa na mimi ila mimi sipo tayariMtu kabeba na mimba mpaka kuitoa bila kujua
Nataka taarifa za kujazia jazia kwenye uzi dadaWewe unatakaje kwani?
Au ukute ilikuwa ya miujiza ila Shunie hakujua, haya mambo tunayaona sisi wa rohoni tu jamani.Mtu kabeba na mimba mpaka kuitoa bila kujua
Hapana, wewe tulikuzaa na anti-virus hivyo wameungua wenyewe.waniacheee jamaniii kama kaungua ajue na auntie yake nimooo
Oooh pua henikenina wana bahati siku mbili zote nipo sober
Mweeh kwahiyo ndio sipati mjukuu mimiHivi uliona ile anaambiwa eti shunie anataka kuzaa na mimi ila mimi sipo tayarina limwanamke linabeba habari kama zilivyo linakuja kuonyesha wenzie
Mimi huyu nitake kuzaa kifalahivi wananichukuliaje hawa lakini
Au ukute ilikuwa ya miujiza ila Shunie hakujua, haya mambo tunayaona sisi wa rohoni tu jamani.
Yaani wana bahati aiseee ningepiga chupa zangu za kijani woiii sijui wangenibebea wapi washukuru sana kwaresmaOooh pua henikeni
Auntie mjukuu utapata ila sio kifala fala ujueMweeh kwahiyo ndio sipati mjukuu mimi
Auntie kumbe uliona jana nikasema nini hiki jamani
Mbona mimi sijaona Auntie...?Hivi uliona ile anaambiwa eti shunie anataka kuzaa na mimi ila mimi sipo tayarina limwanamke linabeba habari kama zilivyo linakuja kuonyesha wenzie
Mimi huyu nitake kuzaa kifalahivi wananichukuliaje hawa lakini