Kama kaungua basi na ndugu yetu nae tayari. Hivi unaweza mtangazia mwanaume wako kaungua kweli?. Yani walivyo mabolizozo hata hawatumii tu akili kwamba hamna mtu analala na mtu halafu anamtangaza ana UKIMWI
Kweli hata akili ndogo kama hiyo kaikosa? SijategemeaSasa kwani hata akili ya kung'amua hilo unafikiri anazo!!
Si ndio maana ukatoamimi wa kutaka kuzaa kweli mimi jamaniii naanzaje kuzaaa kifala
Punguza Upambe We MtotoWe jobless hebu tulia kwanza mimi nataka aifoni.
Hajui tu namna nilivyohangaika...
Sijui kwa nini kila nikisoma hiyo jobless nacheka
Si ndio maana ukatoa
Hajui tu namna nilivyohangaika...
Then anataka tena kuleta balaa
Hapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweli
Sijui kwa nini kila nikisoma hiyo jobless nacheka
Watu wako na vioja jamani...
Wewe unatakaje kwani?Kwahiyo kaungua au hajaungua jamani
Ila kuna mambo ukiyasikia unacheka kwanza badaya ya kureactAuntie bora sasa ningekuwa nayo jamani ila nimetungiwa nina mimba mpaka nimeitoa
Namchek tu namna anavyochochea hapa..
Angejua kazi uliyoifanya jana na kunistopisha asingefukua makaburi
Ila Auntie jamani...Ujacheka kama nilivyocheka mimi wakati nasoma chart zao
Mtu kabeba na mimba mpaka kuitoa bila kujuaIla kuna mambo ukiyasikia unacheka kwanza badaya ya kureact
Ila... Huyo jamaa kazi anayoMtu kabeba na mimba mpaka kuitoa bila kujua
Wewe unatakaje kwani?
Yaani auntie sijui huwa wanafikilia nini na habari zao jamaniIla kuna mambo ukiyasikia unacheka kwanza badaya ya kureact
Namchek tu namna anavyochochea hapa..
Hajui ukianza tena itabidi na yeye aangaike..Na hakuna namna anaweza kukwepa..