App ni changamoto sana Rafiki...Nami natumia hiyo hiyo..Nipo rafiki yangu, natumia App kupata notifications ni changamoto kidogo..
Habari za uzima? Weekend yako ilikuwaje
Zimefanana kila kitu Auntie...halafu auntie ujue zimefanana sana sana ngoja aje tumwambie
Nipe shule hapa Auntie..Download tapatalk baba wawili
Huzijui Rafiki?Za Kikuu zimefanyaje
Nafurahi kusikia hivyo rafiki yangu, weekend ilikuwa safi pia...App ni changamoto sana Rafiki...Nami natumia hiyo hiyo..
Mimi mzima kabisa Nige..Sijui wewe? Weekend imekuw poa, poa kabisa..Sijui upande wako.
Kikuu ni wahuni sana, picha unayoiona ni tofauti na kitu harisi kikikufikia mkononiHuzijui Rafiki?
Zile siyo Iphone...ni ephone
Kabisa Rafiki...Nafurahi kusikia hivyo rafiki yangu, weekend ilikuwa safi pia...
Weekend ndio inamalizika, kesho pia ni siku nyingine tena rafiki
Kabisa...Kikuu ni wahuni sana, picha unayoiona ni tofauti na kitu harisi kikikufikia mkononi
Hellooo...halafu auntie ujue zimefanana sana sana ngoja aje tumwambie
Kwani kuna habari gani?!eti shunie na rafiki zake wanataka kuweka thread mimi huyu mnikomeeee na story zenu za kutunga uko pm ebu achaneni na mimi ongeeni mambo yenu
Amiin rafikiKabisa Rafiki...
Na Mungu azidi kutuonekania tena na tena..
nimepita kufanya nini huku hapanihusuuu!!!!Rafiki zangu si ndio nyieshunie na kundi langu
Kabisa...
Wale watu sijui wapoje...Unaweza kuona gauni ukaagiza likifika anavaa mtoto
Nimepita tu nakutana na haya mambo sielewei wat iz happeningWanikome. Tabia za kishamba shamba toka lini? Kwanza naanzaje yani? Nasisitiza tena WANIKOME kama wamemaanisha na mie niko kwenye ujinga wao.
Naomba name mnitumie mwenzenu kwa kua Niko selfika mkwe unanikataaa!!kweli?!!Kweli umekereka mpaka umeandika.
Sema nini, wapotezee kwanza wanakuogopa. Wangekua wanajiamini wangekuandikia kama hivi. Ushawaongezea cha kujadili PM wakiendelea tena mwaga ubuyu. Daaah Sema zile chat nimeshtuka.
Wanawake huku msipotumia akili mtavurugwa na mtu mmoja wakati nyie mnavurugana mwenzenu anawinda mboga nyingine.
Naomba wasitiri kwa hili maana zile chat ukizileta huku uwiiii. Ila nyie mnaohusika mnajijua. Huyo mwanaume wenu anawavuruga. Ni vile tu sio wajanja kujua tabia za wanaume wasiojiamini.
Kuna habari gani jf nisoijuia kukaa selfika nakosa mautamu!Eenh jobless wajinga hawa mimi mwenzenu sitegemei hela ya kupewa na mwanaume
Who?!!!!Usimpe hiyo airtime my ndugu. Mpotezeeeee. She is not worth it
Ujinga tu mkweNimepita tu nakutana na haya mambo sielewei wat iz happening
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nani?!!huyooo!!nna hamu na ugomviNdugu yangu mambo ya jf acha tu umekaa huna hili wala lile unaambiwa unaambiwa ooh mnataka kuweka thread sijui mumseme mtu ana ukimwi
Siwezi kukunyima mkwe wanguNaomba name mnitumie mwenzenu kwa kua Niko selfika mkwe unanikataaa!!kweli?!!
Au nije wosap
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app