...nilikuambia aunt, uvumilivu na kusamehe ndiyo kitu pekee wakati ukiwa na anko wangu.
...yupo atakuja katekwa na shemeji wa katibu tarafa anaitwa Halima cheupe , anko wangu Lee msimu huu anatiririka tu na vyeupedawa
mkwepu jr niko hapa Tandamti nakula menu ya taifa (chai na chapati mbili) nimeona nikusalimia. Sikukaribishi ila ukija na ukataka chai na chapati mbili watakuuzia kwa bei waliyoniuzia
...nilikuambia aunt, uvumilivu na kusamehe ndiyo kitu pekee wakati ukiwa na anko wangu.
...yupo atakuja katekwa na shemeji wa katibu tarafa anaitwa Halima cheupe , anko wangu Lee msimu huu anatiririka tu na vyeupedawa