Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Salama Rafiki..Hahah Nipo rafiki yangu,
Habari za weekend rafiki?
Hahaha hausahau rafiki






Hahaha tutaongea rafiki, haya mambo haya
Hahhaha hivi auntie unajua kama Lee alikuwaga mubabe zamani naona tumeamua tusogezane tena karibu
Mwenyewe nimecheka sana wakati naandika...
Na huyo Espy Eroni akiona utajua hujui Auntie..Na hivi anapenda zawadi huyoMdogo wangu yule sijui ana nini jamani
Sent using Jamii Forums mobile app


muulize tu baba wawili atakupa majibu yote me maswali sitaki jamani yaani sitaki
Hahhaha si ndio siku ulizokuwa hauonekani yaani nilibaki nashangaa tu
Sema kweli baba wawiliHahah alishaachana nayo kwa sasa
Niko poa kabsa, Mungu anasaidia rafiki
Auntie weeeeeee!!!!Hahhaha hivi auntie unajua kama Lee alikuwaga mubabe zamani naona tumeamua tusogezane tena karibumuulize tu baba wawili atakupa majibu yote me maswali sitaki jamani yaani sitaki


Ungenishtua Aunty Akee...Hahhaha si ndio siku ulizokuwa hauonekani yaani nilibaki nashangaa tu
Babeeee
Babe usimsikilizeew huyooNajua sasa nikiiona hatoniona tena baba wawili
Tunakusalimiaa shemNawasalimia Wapendwa wangu...
Nigendako umeupiga mwingi mno Rafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa nimelala fofofooooo....safariii hii imenifanya nisikuonee leoAuntie yangu nionee mchumba angu Lee jamani
Shonaaaa nguoAuntie....
Hebu subiri kwanza!!!
Kwa hiyo huu Mwaka harusi tunayo au hatuna? Au kikubwa Uhai Auntie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lee wa shuny ni mmojaaaa....tokea enzi za queen of shAuntie nimecheka sana sana kwakweli sijui naona kikubwa uhai tu mwenyewe nimejiona nimeshakuwa mchumba wa mtu hata sielewi nimefikaje fikaje kwenye uchumba
Akiona auntie yangu Espy Eroni atadai vitenge halafu mwambie asiniulize maswali sitaki