Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220312-174255_Instagram.jpg
 
CAF CONFEDERATION CUP
.
SIMBA SC RS BERKANE
16:00
Benjamin Mkapa
.
Msimamo Kundi D
1. Berkane — 6
2. Simba — 4
3. US Gendermarie — 4
4. Asec Mimosas — 3
.
Kila la kheri simba mnyamaaa
Screenshot_20220313-111939_Instagram.jpg
 
CAF CONFEDERATION CUP
.
Kwa jinsi msimamo wa kundi ulivyo, ushindi utarahisisha hesabu za Simba kuisaka robo fainali na kinyume chake italazimika kufanya kazi ngumu mechi mbili zitakazosalia ikiwamo ya ugenini dhidi ya Asec Mimosas na ule wa mwisho nyumbani na US Gendarmerie. Vipi Mwarabu kwa Mkapa atatoka mbele ya MNYAMA __!?
Screenshot_20220313-112043_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom