Vigezo na masharti kuzingatiwa hiyo ni lazimaHapoo sasa ila vigezo na masharti hakunA
Haaa nyie endeleeni tuHahah usitoke Maki
Aahhaahah kwamba we baba wawili ndio unayenijua vizuriAuntie hakujui vizuri Shunie
@Shuniehahahaha cjapelekwa popote rafiki.
Auntie usimsikilize baba wawili huyo ni mchochezi sana







Hahahha auntie katika watu sijawategemea ni wewe ujue








Kumbe yupo tofauti na ninavyomjua Rafiki?Auntie hakujui vizuri Shunie

Aah sijamaanisha hivyo ShunieAahhaahah kwamba we baba wawili ndio unayenijua vizuri

,polepole bhanaNdio rafiki


hahahaha nasema kweli daima shangaziEenh sema kweli we mzee
hahahaha
Hahahhah auntie yeye tu akiwa tayari nampeleka




eenh juzi nilikuona hapa upo kwenye kwaresma
Hahahha baba wawili anatamani niwe nyumbani
Haaahahah muulize nipoje