Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
MSHAHARA WA MOSIMANE KUFURU
.
Miamba ya soka la Afrika, klabu ya Al Ahly imetangaza rasmi kumuongezea mkataba Kocha Pitso Mosimane (57) kwa miaka mingine miwili huku ikielezwa kuwa mshahara wake utaongezwa hadi dola za Marekani 185,000 kila mwezi sawa na Sh milioni 428.
.
Miamba ya soka la Afrika, klabu ya Al Ahly imetangaza rasmi kumuongezea mkataba Kocha Pitso Mosimane (57) kwa miaka mingine miwili huku ikielezwa kuwa mshahara wake utaongezwa hadi dola za Marekani 185,000 kila mwezi sawa na Sh milioni 428.
zinasema kuwa endapo kocha wa RS Berkane, Florent Ibenge
atashindwa kuifunga Simba atafukuzwa.
mtoto mlito mlito