Naenjoy mimi na haya maisha yangu![]()







Sijui kwanini hii kauli yako huwa Inanichekesha sana..
Heri ya Mwaka Mpya kwa mara nyingine tena Auntiee
Sent using Jamii Forums mobile app





Tufurahi tu auntie yangu



Tufurahi tu auntie yangu
Hivi si unajua maisha flani hivi huna stress eenh huna mtu wa kukupangia sijui usiende sehemu flani au usifanye hivi au ukitoka mtu ananuna
Yaani unaishi maisha yako mwenyewe unafanya unachojisikia wewe najua unanielewa vizuri ninavyomaanisha dear







Umenifanya nimecheka ki faller Auntie
Nakuelewa vyema sana...Na hiyo stress ni juu ya nini? Na Dunia ilivyo na vitu Mob namna hii vya kutupa raha..
Enjoy Life Auntie..Tukutane pale Kijiwe Mishikaki
Sent using Jamii Forums mobile app


Umeona eenh auntie katika maisha kuna kitu nimejifunza me sasa hivi sikaribishi stress ya aina yeyote ile Lini umehamia Kijijini Auntie?Umeona eenh auntie katika maisha kuna kitu nimejifunza me sasa hivi sikaribishi stress ya aina yeyote ile
Kijiwe mishkaki napendaga mishkaki ya nundu jamani sema sasa hivi nimehamia kijijini ila napamiss sana ile salad yao ile

Hahahahah
Hhahahhaha kijiji cha hapahapa jijini auntie sio mkoaniLini umehamia Kijijini Auntie?
Ndiyoooo..Wale watu ile Mishikaki sijui wanaweka nini? Wakishirikiana na wale Vijana wa pale Upanga....Umeshaijaribu na yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooooh!!! Usiniambie Kijijini hapa hapa Jijini Auntie!!!Hhahahhaha kijiji cha hapahapa jijini auntie sio mkoani
Upanga ipi hiyo sio hapa njia ya kutokea muhimbilia au



Ni sawa...
Hahahahahaha kijijini mjini dar es salaam auntieOoooooh!!! Usiniambie Kijijini hapa hapa Jijini Auntie!!!Ni sawa...
Dah!!!Hiyo hiyo...Achana na wale kama unaenda Takukuru...Wale wapo nyuma ya Aga Khan ile shule ya watoto..Wale watu balaa lao siyo dogo
Sent using Jamii Forums mobile app