Makapuku Forum

Morrison ameshaandika barua kwa uongozi na imebaki uamuzi wa CEO kuamua kama atalimaliza hilo suala au atalipeleka kwenye kamati za kinidhamu kama atakuwa hajaridhishwa na maelezo hayo.

- Ahmed Ally, Meneja Habari na Mawasiliano Simba.
 
Wastani wa umri wa kikosi cha Asec Mimosa ya Ivory Coast ni miaka 23 na miezi mitano kwa wachezaji walioorodhesha msimu wa 2021/22 ambao ni wachezaji zaidi ya 40

Kwenye hao wachezaji wapo wachezaji wawili tu wenye umri juu ya miaka 30! Hivyo wachezaji wao wengi ni Under 30!

Natarajia sana Peter Banda na Pape Ousmane Sakho waanze na bila shaka wataonesha kitu, michuano ya Afrika ni showcase ya kuonesha uwezo

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…