Yaani full utoto paleYaan palinishinda pale, Kuna vijana wa vyuoni hovyo hovyo mikele MDA wote, afu wanamwagiana mipombe bila ustaarabu.
Lugha za ajabu ajabu, yaan full tafrani pale.
Sasa nikitoka zangu mizungukkni, huwa nahitaj sehem tulivu kama GP kutuliza nafsi Kwanza na mziki was kiutu uzima
Nmewaachia nyie ukoYaani full utoto pale
Next time nikienda pale(kesho usiku nadhan), ntakustua uje upate ata bia mbili mkuuHahahah kweli kabisa
Mie sio mtotoNmewaachia nyie uko
Usijali mkuuNext time nikienda pale(kesho usiku nadhan), ntakustua uje upate ata bia mbili mkuu
Nmeangalia vizur ile picha yako, hakika huna umri huo weweMie sio mtotomuhenga wa miaka 50 hapa jana nilibebwa tu na watoto wangu nilishindwa kuwakatalia
Picha isikudanganye kabisa we amini nipo na miaka yangu 50Nmeangalia vizur ile picha yako, hakika huna umri huo wewe
Labda nusu yake utanishawishi
Lile goti halijakomaa bhana, tusipotoshane bhanaPicha isikudanganye kabisa we amini nipo na miaka yangu 50
Hhaahhahah wengine miili yetu mizuri sio mpaka goti likomaeLile goti halijakomaa bhana, tusipotoshane bhana
Hata Kama, ila sio kwa 50sHhaahhahah wengine miili yetu mizuri sio mpaka goti likomae
Dah acha niendelee kuchekaunacheka eeeh?
Wee Uko kwny late 20s au early 30s
Usindanganye mkuu