Makapuku Forum

Makapuku Forum

| Moses Phiri Mambo yameiva Simba
.
Mambo yameiva pale Zambia. Mshambuliaji hatari Moses Phiri amefunguka kwamba msimu ujao anatua Msimbazi baada ya makubaliano ya awali kufanyika
.
“Bado mimi ni mchezaji wa Zanaco, lakini kama Simba wamekuja na ofa nzuri mezani kwa nini nikatae wakati mpira ndio kazi yangu.”
.
“Uwepo wa Chama na Bwalya katika kikosi cha Simba kimenifanya niridhike kuwa, kikosi cha timu hiyo kinaundwa na mastaa wanaotaka mafanikio.”
.
“Naongea sana na Chama ni rafiki yangu sana ameniambia nipambane kuhakikisha nakuja huko, nafatilia mechi nyingi za Simba ni timu kubwa.” Amesema Phiri.View attachment 2109574
Umri unafaa?
 
Screenshot_20220206-110922_Instagram%20Lite.jpg
 
Golikipa wa Misri, Mohammed Abougabal amekuwa maarufu katika michuano ya Afcon 2021 kutokana na umaridadi wake. Uwezo wake wa kucheza penalti umemfanya kuwa tishio akidaka 1 dhidi ya Ivory Coast, 2 dhidi ya Cameroon, 1 dhidi ya Senegal
Screenshot_20220207-044650_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom